Tazama banda la kupokelea Samaki lililojengwa na TAMISEMI kwa Tsh. Milioni 50

Abraham Lincolnn

JF-Expert Member
Apr 12, 2018
2,532
4,314
GNogeviX0AA8WR9 (1).jpeg
 
Nchi inajiendesha yenyewe Kila mtu anajipigia kwa muda na nafasi yake.

Miss Tanzania By Solo Thang.
Huwa nasema kila siku, hii nchi ina bahati hainaga majanga majanga ndiyo maana raia hawana habari, lakini ingekuwa na majanga hii nchi walahi pangekuwa panachimbika sn mana raia wasingekubali kuishi bila Rais kama hivi. Hii nchi hata paka anaiongoza.
 
Back
Top Bottom