Umeona eeh....yaani mwanamke anayekupa masharti yote hayo, awe na uhakika siku ya ndoa unamkuta bikra...short of that anatafuta revenge tu hata baada ya ndoa....
Mkuu, kuna specialist wa skin surgery au clinic yoyote unayoijua nimuuelekeze aende akafute jina ilo la Kevin
:A S embarassed:Wadau wa JF.
Kuna jirani yangu ni mdogo kiumri kamaliza chuo mwaka juzi, na mwaka huu kafunga ndoa.
Kaniomba ushauri kuhusu ndoa yake ndio kwanza ina miezi saba tu, tatizo liliopo huyo kijana ananiambia huyu mke wake alikuwa anasoma chuo pale IFM, alikuwa anafuatilia toka mwaka wa kwanza.
Kila hakimuomba wawe wapenzi yule mwanamke anamwambia hawezi kuingia kwenye mahusiano na mwanaume yoyote mpaka siku atakapofunga ndoa.
Kijana akashwawishika na yale maneno ya yule mwanamke, jirani akatangaza uchumba, mwanamke akakubali, wakawa wachumba mwanamake akamwambia mwanaume tendo la ndoa watafanya siku ya harusi mwanaume, akakubali sababu na mapenzi ya kweli.
Siku ikafika wakafunga ndoa wakawa mume na mke, jirani ananiambia mke wake kachora Tattos kwenye mapaja yake, Tatoo moja kachora alama ya Moyo, paja la pili kaandika I love you Kevin.
Nimemuliza kwa nini ulijichora hivi ananijibu mbona vitu vya kawaida usijali mpenzi, nilichorwa na rafiki yangu wa kike wakati tupo chuo.
Jirani anasema kinachomuuma zaidi ni hayo maneno I Love you Kevin, sio jina lake.
Wadau tumsaidiaje jirani yangu nawakilisha
Hivi kuna watu bado wanauziwa mbuzi kwenye gunia mpaka leo????
Mpe pole ila kama hapendi atafute njia ya kuiondoa
hilo jina la kevin ni la huyo muoaji au ni jina la mwanaume mwingine?
kama ni jina la mwanaume mwingine,huyo mume mtu imekula kwake
Good. cause unaweza kudhania tu hapa King'asti!
Ndo hapo unasubiriiiiiiiii weeeeeeee mwisho wa siku anakupa uzindua unakuta kumbe anakikojoleo cha kiume sijui utafanyaje.
hilo jina la kevin ni la huyo muoaji au ni jina la mwanaume mwingine?
kama ni jina la mwanaume mwingine,huyo mume mtu imekula kwake
Yeah...that Kevin Ambrose is something else!
meona eeh? i also tattoed him on me,know! he's holy crap!
Mwambie aje niifute tatizo dogo sana hilo!Wadau wa JF.
Kuna jirani yangu ni mdogo kiumri kamaliza chuo mwaka juzi, na mwaka huu kafunga ndoa.
Kaniomba ushauri kuhusu ndoa yake ndio kwanza ina miezi saba tu, tatizo liliopo huyo kijana ananiambia huyu mke wake alikuwa anasoma chuo pale IFM, alikuwa anafuatilia toka mwaka wa kwanza.
Kila hakimuomba wawe wapenzi yule mwanamke anamwambia hawezi kuingia kwenye mahusiano na mwanaume yoyote mpaka siku atakapofunga ndoa.
Kijana akashwawishika na yale maneno ya yule mwanamke, jirani akatangaza uchumba, mwanamke akakubali, wakawa wachumba mwanamake akamwambia mwanaume tendo la ndoa watafanya siku ya harusi mwanaume, akakubali sababu na mapenzi ya kweli.
Siku ikafika wakafunga ndoa wakawa mume na mke, jirani ananiambia mke wake kachora Tattos kwenye mapaja yake, Tatoo moja kachora alama ya Moyo, paja la pili kaandika I love you Kevin.
Nimemuliza kwa nini ulijichora hivi ananijibu mbona vitu vya kawaida usijali mpenzi, nilichorwa na rafiki yangu wa kike wakati tupo chuo.
Jirani anasema kinachomuuma zaidi ni hayo maneno I Love you Kevin, sio jina lake.
Wadau tumsaidiaje jirani yangu nawakilisha