Tattoos, zinataka kuvunja ndoa msaada jamani

This is a perfect example to illustrate why tattooing a person's name on one's own body is a Big no-no.

Anyway, kama nimeelewa vizuri, mke wake aliipata ile tattoo wakati bado hawajawa wachumba, right? Basi, tatizo ni nini? Ingawa zamani mke wake alikuwa anampenda mwanaume mwingine, sasa hampendi mwanaume huyu tena, mpenzi wake wa sasa ni mume wake, kwa hiyo nadhani mume wake hana sababu yoyote ya kuumwa kwa sababu ya ile tattoo (ijapokuwa anakosa kujiamini/kujithamini na kufeel threatened na yule Kevin). Anaweza kumwuliza mke wake aiondoe tattoo, lakini kama yeye akikataa (akitoa hoja zenye mantiki kueleza kwa nini hataki), nafikiri mume anapaswa kuelewa na kuyaacha mambo kama yalivyo.

Mkuu, tatizo akiona mapaja ya wife tu, mzimu wa Kevin, unamtafuna...lol!....inasumbua kichwa sana hiyo
 
Ni utoto, ayaache yalivyo kadri siku zinavyokwenda yatafutika kutoka vichwani mwao wote. Othewise hata wakifuta wataendelea kuwa na jinamizi la mmoja kumkumbuka Kevin mwingine kwa nini alichora tatoo na kuandika kevin.

Wamuombe Mungu maisha yaende if they are in reaal love. Wanawake na maendeleo. Namshukuru Mungu kwa kuwa mshamba, na ushamba wangu uendelee!
 
Ni utoto, ayaache yalivyo kadri siku zinavyokwenda yatafutika kutoka vichwani mwao wote. Othewise hata wakifuta wataendelea kuwa na jinamizi la mmoja kumkumbuka Kevin mwingine kwa nini alichora tatoo na kuandika kevin.

Wamuombe Mungu maisha yaende if they are in reaal love. Wanawake na maendeleo. Namshukuru Mungu kwa kuwa mshamba, na ushamba wangu uendelee!

Caroline Danzi,
wala sio utoto ujue mapenzi some time yanakufanya akili inahama.
Wewe sio mshamba bana, kwa mfano Chatu..akikuletea zawadi za G-strings, utavaa?
 
....mpe pole,kevin ndio mimi na huyo alikuwa wangu!!asihofu,yalishapita na siwezi mpitia tena kwani niko mbali,kweli alinipenda sana
Yours
Kevin
Dakar
Senegal
 
Wadau wa JF.
Kuna jirani yangu ni mdogo kiumri kamaliza chuo mwaka juzi, na mwaka huu kafunga ndoa.

Kaniomba ushauri kuhusu ndoa yake ndio kwanza ina miezi saba tu, tatizo liliopo huyo kijana ananiambia huyu mke wake alikuwa anasoma chuo pale IFM, alikuwa anafuatilia toka mwaka wa kwanza.

Kila hakimuomba wawe wapenzi yule mwanamke anamwambia hawezi kuingia kwenye mahusiano na mwanaume yoyote mpaka siku atakapofunga ndoa.
Kijana akashwawishika na yale maneno ya yule mwanamke, jirani akatangaza uchumba, mwanamke akakubali, wakawa wachumba mwanamake akamwambia mwanaume tendo la ndoa watafanya siku ya harusi mwanaume, akakubali sababu na mapenzi ya kweli.

Siku ikafika wakafunga ndoa wakawa mume na mke, jirani ananiambia mke wake kachora Tattos kwenye mapaja yake, Tatoo moja kachora alama ya Moyo, paja la pili kaandika I love you Kevin.
Nimemuliza kwa nini ulijichora hivi ananijibu mbona vitu vya kawaida usijali mpenzi, nilichorwa na rafiki yangu wa kike wakati tupo chuo.
Jirani anasema kinachomuuma zaidi ni hayo maneno I Love you Kevin, sio jina lake.
Wadau tumsaidiaje jirani yangu nawakilisha

Hapa ndo unapo kuja kuona umuhimu wa shake before use
 
duh! hii kali sasa ..........apole sana mana bila kufutwa itamuuma kila siku na huyu mwanamke atakua anamkumbuka kevin wake kila siku loh! bala buluu yani...............ila zinafutwa izo kwa mashine kama zile za kuchorea
 
Hilo jana jike sio aminifu from the first place......ina maana lilikuwa na uhusiano na huyo Kevin,na hata kama huyo Kevin ni fictitious huyo mwanamke inaonekana ana upeo finyu sana wa kutoangalia mbele ingekuwaje kuhusu hiyo tatoo

Wadau wa JF.
Kuna jirani yangu ni mdogo kiumri kamaliza chuo mwaka juzi, na mwaka huu kafunga ndoa.

Kaniomba ushauri kuhusu ndoa yake ndio kwanza ina miezi saba tu, tatizo liliopo huyo kijana ananiambia huyu mke wake alikuwa anasoma chuo pale IFM, alikuwa anafuatilia toka mwaka wa kwanza.

Kila hakimuomba wawe wapenzi yule mwanamke anamwambia hawezi kuingia kwenye mahusiano na mwanaume yoyote mpaka siku atakapofunga ndoa.
Kijana akashwawishika na yale maneno ya yule mwanamke, jirani akatangaza uchumba, mwanamke akakubali, wakawa wachumba mwanamake akamwambia mwanaume tendo la ndoa watafanya siku ya harusi mwanaume, akakubali sababu na mapenzi ya kweli.

Siku ikafika wakafunga ndoa wakawa mume na mke, jirani ananiambia mke wake kachora Tattos kwenye mapaja yake, Tatoo moja kachora alama ya Moyo, paja la pili kaandika I love you Kevin.
Nimemuliza kwa nini ulijichora hivi ananijibu mbona vitu vya kawaida usijali mpenzi, nilichorwa na rafiki yangu wa kike wakati tupo chuo.
Jirani anasema kinachomuuma zaidi ni hayo maneno I Love you Kevin, sio jina lake.
Wadau tumsaidiaje jirani yangu nawakilisha
 
kwani alimuambia hajawahi kupenda ama hajawahi kushiriki tendo la ndoa? aliwahi kumpenda huyo kelvin, innocently akaji-tattoo jinale then akagundua kimeo. washirikiane kuondoa ghost ya kelvin huku wakiendelea kupendana nadhani.

Good. cause unaweza kudhania tu hapa King'asti!
 
Hapa ndo unapo kuja kuona umuhimu wa shake before use

Umeona eeh....yaani mwanamke anayekupa masharti yote hayo, awe na uhakika siku ya ndoa unamkuta bikra...short of that anatafuta revenge tu hata baada ya ndoa....
 
Back
Top Bottom