Tattoo ya uume kwenye uke wa mkeo!

Tattoo ya uume kwenye uke wa mkeo!

vipimo vya papuchi kutumika sana ni vipi? meter or centimeter or kilometer, kilogram or tons?

haina haja ya vipimo n wew mwanaum mwenyew kulingana na umbile lako,mfan kama huyo jamaa anaweza kukuta ana maumbile madogo ila mwenzak alikuwa akitumika sana,itakuwa shida maana atakuwa hafurahii tendo tena ukichukulia aliambiwa atakutwa bikra.
 
Hapo dhana ya kibinadam ningejua nimemuowa changudoa na hili lingepata nguvu zaidi baada ya kumuuliza nani aliyekuchora hii tattoo? Kulitokea nini mpaka ukachorwa,yaani hiyo picha ingenifanya nimuulize maswali mengi sana na mwisho wa maswali kama sikuridhika vingeambatana na taraka.
In short hiyo ni sign ya yeye kuwa malaya.
 
Nithibitishie kwanza kama hii kitu sio umetunga tu, kama ni mada tu niambie, kama ni reality show pia niambie ndio nieweze kujadili
Fikiria Mazingira yafuatayo:

Umekuwa kwenye uchumba na mdada kwa muda wa miaka mitatu. Katika muda wote huo wa uchumba wenu, mpenzi wako amekuwa akikuambia kwamba yeye ni bikira na hayupo tayari kufanya mapenzi hata siku moja hadi pale mtakapofunga ndoa.

Ulikubaliana na sharti hilo kwa shingo upande na maisha yakaendelea japo kwa shida hadi pale siku mlipokuja kufunga ndoa.

Baada ya harusi yenu kilichofuata ni fungate kwenye hoteli maarufu. Unaingia chumbani ukiwa na furaha zote na hamu ya kukipata kile ulichokivumilia kwa muda wote.

Unaanza kufanya tu mapenzi, unahisi kwamba mwanamke huyo siyo bikra ila ni mzoefu tu kutokana na kulegea kwa papuchi na mbwembwe nyingine za kitandani.

Unaamua kubaki kimya kwa sababu unahisi sio muda muafaka wa kuongelea hilo. Katika kumwangalia vizuri sehemu za siri, unagundua kwamba ana tattoo ya uume kwenye uke wake ukiwa umechorwa kuelekea kwenye "that particular part"

- Je, utamfikiriaje mkeo kuhusu historia yake ya maisha yaliyopita.

- Je utaendelea kuishi naye kama mkeo au siku ya pili utambeba na kumrudisha kwa wazazi wake.

Karibuni kwa majadiliano.
 
haina haja ya vipimo n wew mwanaum mwenyew kulingana na umbile lako,mfan kama huyo jamaa anaweza kukuta ana maumbile madogo ila mwenzak alikuwa akitumika sana,itakuwa shida maana atakuwa hafurahii tendo tena ukichukulia aliambiwa atakutwa bikra.

hivi papuchi haiwezi kuwa beseni tu naturally bila hata kutumika?
 
Kuuziwa mbuzi kwenye gunia huwa wanauziwa madomo zege!!
 
ndo maana me nasema cwez kuoa mpaka kwanza nigegede weee, nikiizoea ndo naoa.
 
Sidhani kama kuna shida yoyote ile...tatoo tu ni urembo kama piko tofaut ni ndogo sana.

Mhh uko serious kweli Moyo? Tattoo ingekuwa mkononi sawa lakini uko! Hapana!
 
Once again! Unaonekana ni muathirika wa hii issue...tuwekee picha ya mkeo tuangalie namna ya kukusaidia!
 
labda alichora hiyo tattoo kwa ajili yako huwezi kujua,..
 
Na ww chora ya papuchi kwny kikojoleo kwny kasi ongeza kasi
 
Ulifanya kosa kubwa sana kubeba mfuko bila kuchungulia ndan kunann ! Usimwamin mwanamke kwa maneno yake. Usingekubali kusubili ndoa ndio uje ule tunda. Kwasasa kubaliana na matokeo
 
Huyo ni changudoa mstaafu ndo imeshakula kwako mkuu
 
Toa talaka kabla mambo hayajazidi kuwa mabaya. Una nafasi ya kutoka mapema kuliko kuzama zaidi. Huyo ni manipulative woman kwa kuwa hakukuweka wazi kwamba yeye ni kahaba mtoto wa mbwa!
 
Back
Top Bottom