Tattoo ya uume kwenye uke wa mkeo!

Tattoo ya uume kwenye uke wa mkeo!

God knows

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2011
Posts
276
Reaction score
173
Fikiria Mazingira yafuatayo:

Umekuwa kwenye uchumba na mdada kwa muda wa miaka mitatu. Katika muda wote huo wa uchumba wenu, mpenzi wako amekuwa akikuambia kwamba yeye ni bikira na hayupo tayari kufanya mapenzi hata siku moja hadi pale mtakapofunga ndoa.

Ulikubaliana na sharti hilo kwa shingo upande na maisha yakaendelea japo kwa shida hadi pale siku mlipokuja kufunga ndoa.

Baada ya harusi yenu kilichofuata ni fungate kwenye hoteli maarufu. Unaingia chumbani ukiwa na furaha zote na hamu ya kukipata kile ulichokivumilia kwa muda wote.

Unaanza kufanya tu mapenzi, unahisi kwamba mwanamke huyo siyo bikra ila ni mzoefu tu kutokana na kulegea kwa papuchi na mbwembwe nyingine za kitandani.

Unaamua kubaki kimya kwa sababu unahisi sio muda muafaka wa kuongelea hilo. Katika kumwangalia vizuri sehemu za siri, unagundua kwamba ana tattoo ya uume kwenye uke wake ukiwa umechorwa kuelekea kwenye "that particular part"

- Je, utamfikiriaje mkeo kuhusu historia yake ya maisha yaliyopita.

- Je utaendelea kuishi naye kama mkeo au siku ya pili utambeba na kumrudisha kwa wazazi wake.

Karibuni kwa majadiliano.
 
incredible-tattoo.jpg

Kwa wasiojua Tattoo kwenye uke inakuwaje, nimewawekea picha ya Sampuli.
 
Ndo ishakula kwako hiyo tunaamini mpaka mmefunga ndoa kila mtu ameridhika na mwenzake anayajua vema madhaifu ya mwenzake na yuko tayari kuvumilia na kumchulia mwenzake kwa kipindi cha maisha kilichobaki ndo imani yetu kubwa hayo mengne ya ndani ni ya wahusika,mwanamke aliye na bikira na asiye na bikira kuna utofauti mkubwa sana na unaweza kugundua kuwa huyu anayo au hana hata kama hajakuambia,sasa ukiambiwa tu kuwa nina bikira kirahisi rahisi ukakubali lazima upigwe changa la macho
 
Na ukishamfikisha kwa wazazi wake unawapa sababu gani ya kumrudisha?
 
Tukisema mgegede kabla ya ndoa mnasema sisi ni wazinzi. Unaona sasa madhara yake?
 
suluhisho......shake well before use... Yaani unahakikisha ana kitumbo cha miezi miwili ndo unatangaza ndoa
 
HaiwezEkani hata siku moja mwanamke akakwambia yeye bikira halafu siku ya mgegedo dudu likapita........
 
Katika dunia ya leo hakuna mwanamke bikra labda kitoto cha miaka 5 otherwise wako swazland kwa mswati. Tz hakuna ndg tunadanganyana...halafu na wewe kabisa unaambiwa na mwanamke eti mimi bikra unakubali."shit"..vuna ulichopanda na wewe chora ya kwako uielekeze kwenye 0714
 
Sidhani kama kuna shida yoyote ile...tatoo tu ni urembo kama piko tofaut ni ndogo sana.
 
Fikiria Mazingira yafuatayo:

Umekuwa kwenye uchumba na mdada kwa muda wa miaka mitatu. Katika muda wote huo wa uchumba wenu, mpenzi wako amekuwa akikuambia kwamba yeye ni bikira na hayupo tayari kufanya mapenzi hata siku moja hadi pale mtakapofunga ndoa.

Ulikubaliana na sharti hilo kwa shingo upande na maisha yakaendelea japo kwa shida hadi pale siku mlipokuja kufunga ndoa.

Baada ya harusi yenu kilichofuata ni fungate kwenye hoteli maarufu. Unaingia chumbani ukiwa na furaha zote na hamu ya kukipata kile ulichokivumilia kwa muda wote.

Unaanza kufanya tu mapenzi, unahisi kwamba mwanamke huyo siyo bikra ila ni mzoefu tu kutokana na kulegea kwa papuchi na mbwembwe nyingine za kitandani.

Unaamua kubaki kimya kwa sababu unahisi sio muda muafaka wa kuongelea hilo. Katika kumwangalia vizuri sehemu za siri, unagundua kwamba ana tattoo ya uume kwenye uke wake ukiwa umechorwa kuelekea kwenye "that particular part"

- Je, utamfikiriaje mkeo kuhusu historia yake ya maisha yaliyopita.

- Je utaendelea kuishi naye kama mkeo au siku ya pili utambeba na kumrudisha kwa wazazi wake.

Karibuni kwa majadiliano.

Aaaa huwezi kushangaa kamanimwanaume mwenyekujiamini. lakinipia lazima ufahamu huu wakati siyo wakushanga mawazo yako hayo yamepitwa nawakati sasahivi huwezikumhukumtu kwaurahisi namnahiyo, sasahivi vitu vikopeupe mtu anaweza kuchora nakawa bora .lakinikumbuka hakuna ofisi inayoajiri birakuuliza unauzoefu
ifikemahalijaman mfahamu NDOWA NIUPENDO ,anaweza akawa na bikra ukamtoa akawa kapyempye kuliko huyo mwenyetatuu. uwenaamani, kaanamkeo.kwaani
 
Back
Top Bottom