Tattoo ya uume kwenye uke wa mkeo!

Tattoo ya uume kwenye uke wa mkeo!

Heart, Pokea 5 yangu. Tatoo ni urembo nao huwekwa unakotaka weye. Iwe usoni au tumboni ni tatoo. Huwekwa na yeyote, me au ke bora ana huo ujuzi. Sio kwamba kwa vile alichora me ni me ndio aliiweka. Pia hata kama iliwekwa na me si kwamba aliweka baada ya ku mdo. Mbona mtu ukiisha kukosa uaminifu unawawazia wengine vibaya?
Nataka pia nikueleze kuwa, ukimwandaa mwanamke vizuri na kisawasawa kabla ya tendo, waweza kudhani umesalitiwa. Mambo yanakuwa saafii. No kelele bali mguno tuu.
Wanaume wengi, sheria ya ubakaji ikipitishwa mtaishia Segerea. Unatoka huko baa umeishika mkononi, anakufungulia mlango hungoje aufunge tayari umemkata mtama. Hapo hapo sebuleni. Jamani huku ni kuumizana.
kaka mchukue huyo mkeo tu ni wako huyo tena mwaminifu alikungoja mno kila akikuona tu vimaji vina m.to.ka kwa hamu

Jamii forum hakuna linaloharibika hapa..
 
There is nothing wrong. Anajihami tu kwa kuonyesha direction ili usijidai umekosea njia.
 
Mhh uko serious kweli Moyo? Tattoo ingekuwa mkononi sawa lakini uko! Hapana!

Nipo serious..angeikuta kiunoni au kitovuni pia ingekuwa judged vipi??! Hakuna tofauti..tattoo hai-define tabia ya mtu jaman. Kipindi cha nyuma ilikuwa mtu akiweka dreadlocks ilikuwa shida majina ya wahuni yote utapewa...but sasahivi ona...watu kibao wenye nafasi zao wanaweka.
 
Sasa mmeamua kuoana mvumiliane tu. kama kudanganywa ushadanganywa, mwombe Mungu usidanganywe tena.
 
Nipo serious..angeikuta kiunoni au kitovuni pia ingekuwa judged vipi??! Hakuna tofauti..tattoo hai-define tabia ya mtu jaman. Kipindi cha nyuma ilikuwa mtu akiweka dreadlocks ilikuwa shida majina ya wahuni yote utapewa...but sasahivi ona...watu kibao wenye nafasi zao wanaweka.

the popularity of a practice doesnt necesarrily make it right.
 
hii ni hadith ya kufikirika..
ikitokea kweli wala hukosi la kufanya..
 
Back
Top Bottom