Tatoo chini ya kalio

Tatoo chini ya kalio

Waungwana habari ya mchana?

Naomba ushauri nina mwaka sasa katika ndoa jana katika kugegeda nimeona tatoo ya ex wake wife imejificha sana chini ya ---- kumuuliza amekua mkali inanipa ugumu sana jamani.
tramp_stamp_butt_tattoo_by_pinkminkink-d3b83ji.jpg
 
We ulikuwa unatafuta nini huko kwenye mfereji?
 
Hiyo inaonyesha aliwahi kuumizwa so kwako kaja kuzima moto. Mavi ya kale hayanuki, msamehe coz hakujua kama ataachwa.
 
Ni wazi alikuwa na maisha ambayo sio mazuri kabla ya kuolewa, lakini kila mtu kuna wakati anafanya mistake lakini haina maana kwamba ataendelea kufanya makosa hayo tena, Usiangalie maisha yake ya nyuma muhimu ni maisha baada ya ndoa.
 
Ongeeni. mavi ya kale hayanuki ameshaachana na wa zamani ndio mana mko pamoja na ukamuoa wewe. lakini mheshimiwa nyie mlikuwa mnaenda kifo cha mende tuu wakati wa ku 'do'? mwaka mzima jamani.....
 
Kila mchuma janga hula na wa kwao....haya ndiyo matokeo kukengeuka katika ujana...

Huo sasa ni msumali wa moto ambao dogo anatakiwa kuishi nao for the rest of his life as long as he continues to live with his wfe...

Ni ngumu sana hiyo!
 
Back
Top Bottom