Tatoo chini ya kalio

Tatoo chini ya kalio

cha kufanya jamaa aifute tu hata kwa pasi
hapo ni issue....manake si rahisi kuamini kuwa wife ataweza kumsahau jamaa...ameweka signature kuwa she belongs to the other guy. hiyo ngumu kumeza
 
tatoo sio tatizo, ila tatizo mahari ilipocholewa, dah kuna watu watukutu, na hii inamaanisha ex wake alikuwa anamkunja sana mpaka akaamua kumpa kila kitu, kwakweli ujana tope la mavi...aisee peleka akaifute haraka sana, au chukua pasi ma maziwa uifute...
 
Unajua jamaa anaumia na vitu vingi,kwamba frank alikuwa akipita huko ndo anakoiyona.

Somo zuri kwa wengine,kabla hujaoa fanya upekuzi kila engo.

Ni muhimu kufanya hivyo endapo hatopenda kuwa muwazi kwa asilimia kubwa
 
sasa muda wote hujaona ....?ulikuwa unapiga kifo cha mende huku mkizima taa ....?
 
Hii kitu inatofautiana kidogo na kufumania! Picha uliyonayo sasa ni zaidi ya ile ya zamani kwamba amewahi kulala na mtu bali alikua kama ameolewa kabisa! Imani uliyokua nayo imeshuka 90% hasa baada ya kukujib kwa ukali wakati ulitegemea atanyenyekea, hasa kwa kutambua kutokukuweka wazi mapema! Full mnuno nyumbani, mawazo full tank!

POLE SANA ASEE. Kila nikivyaa viatu vyako naona nisitoe ushauri wowote.
 
Back
Top Bottom