Tatoo chini ya kalio

Tatoo chini ya kalio

Una moyo sana, yaani mwaka mzima unaingiliana kwenye giza, unashindwa hata kuchunguza maumbile ya mwenzio.
Kuhusu tattoo usiogope, kumbuka kabla ya wewe kukutana nae alikuwa na mwenzie ambae,labda alitegemea angekuwa wa kufa na kuzikana, bahati mbaya mambo yakaenda tofauti, si unajua maswala ya uhusiano tena
 
Daaah alafu hiyo tattoo ipo sehemu mbaya lazima kila ukitaka kugegeda stimu itakuwa inakata na kurudi kama umeme wa tanesco ikiiona..
 
Daaah alafu hiyo tattoo ipo sehemu mbaya lazima kila ukitaka kugegeda stimu itakuwa inakata na kurudi kama umeme wa tanesco ikiiona..

kaka yaani toka nimeona hiyo tatoo nimekuwa kama ------- toka jana nafikiri nahitaji cunceling.
 
kaka yaani toka nimeona hiyo tatoo nimekuwa kama ------- toka jana nafikiri nahitaji cunceling.

Pole sana ndugu,
Hebu fikiria hivi.. mfano wewe hukuwahi kuwa na mwanamke mwingine kabla ya kumuoa huyo mkeo. Sasa imagine kama huyo binti aliyekuwa wako alijichora tattoo, na ameolewa na mtu mwingine inakuwaje? ni mambo ya kawaida tu, kikubwa ni je wewe unamuonaje mkeo, ana tatizo lolote? je msimamo wake kwenye kutaka kuitoa ukoje? kama unaona hana tatizo achana nayo ni mambo ya kawaida tu hayo.. hiyo issue ndogo... je akikuambia alizaa na Frenki ila mtoto yuko kwa mamake si ungejinyonga?
 
Pole sana ndugu,
Hebu fikiria hivi.. mfano wewe hukuwahi kuwa na mwanamke mwingine kabla ya kumuoa huyo mkeo. Sasa imagine kama huyo binti aliyekuwa wako alijichora tattoo, na ameolewa na mtu mwingine inakuwaje? ni mambo ya kawaida tu, kikubwa ni je wewe unamuonaje mkeo, ana tatizo lolote? je msimamo wake kwenye kutaka kuitoa ukoje? kama unaona hana tatizo achana nayo ni mambo ya kawaida tu hayo.. hiyo issue ndogo... je akikuambia alizaa na Frenki ila mtoto yuko kwa mamake si ungejinyonga?

yes brother nafikiri angenambia pindi namuoa isingekuwa shida kwanini kaicha mpaka leo nahisi akili yake bado ipo kule kwa kuacha tatoo ndo mana style ya chuma mboga alikua anakataa jana nimelazimisha nayaona majanga.
 
Kila mchuma janga hula na wa kwao....haya ndiyo matokeo kukengeuka katika ujana...

Huo sasa ni msumali wa moto ambao dogo anatakiwa kuishi nao for the rest of his life as long as he continues to live with his wfe...

Ni ngumu sana hiyo!
A constant reminder of his wife's ex.
 
Waungwana habari ya mchana?

Naomba ushauri nina mwaka sasa katika ndoa jana katika kugegeda nimeona tatoo ya ex wake wife imejificha sana chini ya ---- kumuuliza amekua mkali inanipa ugumu sana jamani.


dadavua hapa sijakuelewa mkuu!!!!!!!!!!!
 
hapo kwenye red...mwanaume ndiye ana tatoo kwenye ---- na wewe ni ke? au wewe ni me ulikuwa una.f.i.ra?

Nafikiri anamaanisha tatoo iliyoko kwenye mwili wa mke wake ikirepresent mtangulizi wake/aliyekuwa na huyo wife wake
 
Nafikiri anamaanisha tatoo iliyoko kwenye mwili wa mke wake ikirepresent mtangulizi wake/aliyekuwa na huyo wife wake

hapo ni issue....manake si rahisi kuamini kuwa wife ataweza kumsahau jamaa...ameweka signature kuwa she belongs to the other guy. hiyo ngumu kumeza
 
A constant reminder of his wife's ex.


Wewe sijui nikuelezeje.....mwanamume ni very delicate linapokuja suala la kujipambanisha na mwanamume mwenzake. Hii constant reminder ni sawa kabisa na death sentence....hukawii kusikia jamaa kaamua kumaliza ubishi kwa kutumia kamba!

Haya mambo yaache hivi hivi...
 
Waungwana habari ya mchana?

Naomba ushauri nina mwaka sasa katika ndoa jana katika kugegeda nimeona tatoo ya ex wake wife imejificha sana chini ya ---- kumuuliza amekua mkali inanipa ugumu sana jamani.

Weka picha
 
yes brother nafikiri angenambia pindi namuoa isingekuwa shida kwanini kaicha mpaka leo nahisi akili yake bado ipo kule kwa kuacha tatoo ndo mana style ya chuma mboga alikua anakataa jana nimelazimisha nayaona majanga.
Huoni kuwa alikuwa anakataa labda kwa sababu ameshindwa kuifuta na anajua itakukasirisha. Jaribu kupunguza hasira, ongea nae akuambie kuhusu hiyo tatoo usome mawazo yake.Kama hukuwahi kuona tatizo lolote huko nyuma, huna sababu ya kuharibu ndoa yako... sijui kama kuna wataalamu wa kutoa hizo vitu hapa kwetu, kama wapo na wewe hupendi mwambie akaifute. Usiharibu ndoa yako kwa jambo dogo kama hilo.
 
aliyemchora nyuma ujue 0713 ilikuwa halali yake
 
Wewe sijui nikuelezeje.....mwanamume ni very delicate linapokuja suala la kujipambanisha na mwanamume mwenzake. Hii constant reminder ni sawa kabisa na death sentence....hukawii kusikia jamaa kaamua kumaliza ubishi kwa kutumia kamba!

Haya mambo yaache hivi hivi...

Yes. Men oh men.
 
Back
Top Bottom