Tatoo chini ya kalio

Tatoo chini ya kalio

Pole sana mkuu ni maamuzi ya kipindi hicho mkeo akiwa na ujana/usichana umechachamaa akiwa hajafikiria kesho itakuwaje.

Wewe ndio wake kwa sasa sio mtu mwengine, tuliza akili jenga familia yako hilo ni jambo dogo maana sio kwamba amekosa uaminifu mkiwa tayari ndani ya ndoa naamini naye pia inamkera kuliko inavyokukera wewe.
 
hapo ni issue....manake si rahisi kuamini kuwa wife ataweza kumsahau jamaa...ameweka signature kuwa she belongs to the other guy. hiyo ngumu kumeza

Hiyo signature isipotolewa tendo la ndoa litagubikwa na kejeli na maneno ya hapa na pale jambo ambalo litakuwa chachu ya kufifisha ndoa yao wasipoyarekebisha mapema
 
Wewe sijui nikuelezeje.....mwanamume ni very delicate linapokuja suala la kujipambanisha na mwanamume mwenzake. Hii constant reminder ni sawa kabisa na death sentence....hukawii kusikia jamaa kaamua kumaliza ubishi kwa kutumia kamba!

Haya mambo yaache hivi hivi...

bora hata wewe umeliona hilo, watu humu wanamuuliza eti iyo inakudhuru nini. msilinganishe hii issue na meseji ya mapenzi kwenye simu ya mpenz.
 
Kwani ulimkuta bikira? hizo ndo gharama za kuoa aliyetumika.....kama unampenda kweli tatoo hiyo utaona kama kidoa tu.....upendo hufunika wingi wa dhambi.
hiyo ngumu kumeza aisee, bora ingekuwa tatoo tu, bali ni tatuu ya x, yaan inapoteza hamu yooote, acha kabisa
 
Kwa hio kakuzidi sauti?

Mwanamke kuwa mkali ndo mwisho wa maamuzi yako?

Hebu toa final say hicho kidude kitolewe, otherwise unapruvu kwamba kuna kidume nje kinakugongea 'like' kwa mkeo.
 
Nenda na fashion zote na achana na zile za kukubadirisha na kuacha alama.Tattoo na mkorogo vyote vina madhara kiafya.yaan nawasikitikia sana wale ambao mpaka sasa hawajaoa.polen
 
Nawaza huyo mchoraji wa uyo tatuu sijui kama hajaonja
 
Solution ya tatoo ni moja tu...washa pasi ikishapata moto to the maximum heat mbadike sawa sawa pale kwenye tatoo...haki ya nani nakuambia maumivu atakayoyapata atamchukia mpk huyo ex wake kwnn alishawishi ajichore
 
Guys kufuta tatoo ya kweny makalio😀 dat means mfutaji anashika kalio za wife bila chenga..pole sana ndugu,i knw kuipotezea and kuona lyk ni past ni ngumu sana and najua pia unaumia kwa mengi like stil anampend ex wake,je ex alikuw anakul 0713,jinsi ya kuifuta ect
 
Wewe utakuwa umegegeda mchana hayo ndo matokeo yake?
 
Dawa ya hiyo tatoo ni kuilamba wakati unaandaa chakula ya kale yaache yapite
 
Back
Top Bottom