GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,695
- 109,123
Hakuna Timu ambazo Naziogopa hasa zikifika katika hatua ya Robo Fainali kama za Al Ahly na Mamelodi Sundowns FC.
Ninadhani tumeelewana vyema tu.
Ninadhani tumeelewana vyema tu.
Nyie ndo mnasababisha wanasimba tuonekene mazuzuIlo swali waulize uto sisi tusha watoa jasho waarabu huko kwao wenyewe habari wanayo
Tangu lini mpira unachezwa bila jashoIlo swali waulize uto sisi tusha watoa jasho waarabu huko kwao wenyewe habari wanayo
Kwa nini mnamuita Genta Popoma wakati wewe ni Popomax.Ilo swali waulize uto sisi tusha watoa jasho waarabu huko kwao wenyewe habari wanayo
Mliwafunga mwaka gani?Ilo swali waulize uto sisi tusha watoa jasho waarabu huko kwao wenyewe habari wanayo
😂😂Nyie ndo mnasababisha wanasimba tuonekene mazuzu
Wewe ndio umeongea, issues sio kushinda issue ni kuwatoa hawa majamaa.Kila nikifanya uchambuzi wa Yanga kwa Mamelod na kuwa mpole,maana mpira ni mchezo wa wazi.Hakuna Timu ambazo Naziogopa hasa zikifika katika hatua ya Robo Fainali kama za Al Ahly na Mamelodi Sundowns FC.
Ninadhani tumeelewana vyema tu.
Zuzu mwenyewe, zamalek alitolewa wapi tena akiwa bingwa mtetezi?Nyie ndo mnasababisha wanasimba tuonekene mazuzu
ni kweli inataka mipango thabiti ila sioni kama tutatoboaHakuna Timu ambazo Naziogopa hasa zikifika katika hatua ya Robo Fainali kama za Al Ahly na Mamelodi Sundowns FC.
Ninadhani tumeelewana vyema tu.