Huawei Y518 ni dual SIM ambapo slot moja ni kwa ajili ya GSM network na ya slot ya pili ni kwa ajili ya TD-SCDMA.
TD-SCDMA ni aina ya 3G network ambayo inatumiwa huko China...
Tanzania hatupo katika standard hiyo pamoja na kwamba carriers wetu wana 3G network. Bongo sisi tumekuwa standardized kwa WCDMA kwa traffic zote za 3G...
Hivyo wewe unapata data kwa kupitia slot ya GSM pekee na utakuwa limited kwenye Edge (E) pekee...
Kabla ya kununua simu hizi za Wachina au Wakorea muwe mnafanya review ya matoleo ya simu.
cc
Chief-Mkwawa