kijumbamshale
JF-Expert Member
- Apr 27, 2011
- 267
- 88
Wadau naombeni msaada nina simu yangu hapa HTC nimeagiza Marekani ilikua inatumia mtandao wa verizon. Simu hii wameifunga haiwezi kufanya teethering ya usb wala kutengeneza wifi hotspot wakati mimi nahitaji sana hizi huduma nifanyeje?
Nb: Vitu vingine vyote viko poa kabisa.
Nb: Vitu vingine vyote viko poa kabisa.