Yote hayo ni majibu Sahihi na ni jibu hilo hilo moja Dawa ya nguvu ya kiume kazi yake kukufanya uweze kufanya tendo la ngono kinyume na ule uwezo wako wa kawaida. Kama ulikuwa unawahiNimeulizwa swali hilo"kuongeza Nguvu za Kiume hasa ni nini kinacho lengwa?" Je,
i) Ni kuongeza uwezo wa kucheza round nyingi ktk mechi?
ii) Ni kuongeza uwezo wa kuhimili kwa muda mrefu ili kukamilisha raound ktk mechi?
iii) Ni kuongeza kiasi (volume) ya vitu vinavyokuwa discharged wakati wa kukamilisha round?
iv) Ni kuongeza uwezo wa mzee wakazi kusimama kwa u imara kama ukuni mkavu nasi kuwa legelege
Wana JF msaada tafadhali
kweli mzizimkavu wewe ni mwalimu wa walimu ktk fani hiyoYote hayo ni majibu Sahihi na ni jibu hilo hilo moja Dawa ya nguvu ya kiume kazi yake kukufanya uweze kufanya tendo la ngono kinyume na ule uwezo wako wa kawaida. Kama ulikuwa unawahi
kumaliza na mpenzi wako huwa analalamika ukitumia dawa ya nguvu ya kiume inamuezesha huyo mpenzi wako umridhishe katika tendo lenu la Ngono anaondoka huyo mpenzi wako wa kike huwa mwenye furaha ukimridhisha katika hilo tendo lenu la Ngono. na inapendeza kabla ya tendo la ngono
ukiwa na mwanamke chumbani kabla ya tendo la ngono jaribu wewe mwanamme uwe unamchezea chezea mpenzi wako mwili wake maziwa unampapasa mwili kwa ulaini huku ukinyonya maziwa yake kwa utaratibu huku ukitumia vidole vyako kuchezea sehemu zake za siri kama unavyo chezea
(Keyboard yako ya Computer) kwa utaratibu basi yeye mwenyewe atakwambia haya tucheze mpira wetu na wewe mzee akiwa amesimama ndipo hapo waweza kucheza mpira huku ukienda taratibu juu, chini pembeni huku unampapasa mwili wako mpenzi wako basi utaona mwisho wake
unamridhisha mpenzi wako atakuwa anaona raha tupu wote wawili mwisho wake itakuwa Mpenzi wako atakufunga goli na wewe pia utamfunga goli matokeo yake yatakuwa moja kwa moja. Namalizia hapo Hii ndio faida ya Kuongeza nguvu za kiume, asante.
Yote hayo ni majibu Sahihi na ni jibu hilo hilo moja Dawa ya nguvu ya kiume kazi yake kukufanya uweze kufanya tendo la ngono kinyume na ule uwezo wako wa kawaida. Kama ulikuwa unawahi .
MziziMkavu,
Ukiachana na Viagra, kuna ukweli wowote kuhusu hizi dawa za kuongeza nguvu za kiume zinatongazwa na kila mganga wa kienyeji??
Jamani wana JF mnisaidie. Mimi nikicheza mechi za ndani mashine inapiga mzigo fresh kabisa. Ila nikisema nichakachue penzi nje (Home and away) Mashine inagoma kupiga mzigo kabisa. Napata aibu kweli kweli na nikiwaeleza hao wadau kuwa huwa mashine inapigaga kazi wananiambia piga sasa acha maelezo. Napata shida kumwadisia mama yanayo nisibu kwenye mechi za nje siwezi. Msaada tafadhali
Jamani wana JF mnisaidie. Mimi nikicheza mechi za ndani mashine inapiga mzigo fresh kabisa. Ila nikisema nichakachue penzi nje (Home and away) Mashine inagoma kupiga mzigo kabisa. Napata aibu kweli kweli na nikiwaeleza hao wadau kuwa huwa mashine inapigaga kazi wananiambia piga sasa acha maelezo. Napata shida kumwadisia mama yanayo nisibu kwenye mechi za nje siwezi. Msaada tafadhali
kakuzidi mke wako maarifa nenda kwa Mtalamu wa Kienyeji atakupa Dawa ya kuondowa kifungo hicho mke wako amekufunga usije ukamwambia itakuwa balaa.
Jamani wana JF mnisaidie. Mimi nikicheza mechi za ndani mashine inapiga mzigo fresh kabisa. Ila nikisema nichakachue penzi nje (Home and away) Mashine inagoma kupiga mzigo kabisa. Napata aibu kweli kweli na nikiwaeleza hao wadau kuwa huwa mashine inapigaga kazi wananiambia piga sasa acha maelezo. Napata shida kumwadisia mama yanayo nisibu kwenye mechi za nje siwezi. Msaada tafadhali