Tunashukuru kwa somo mkuu,,so unapaka wakati gani ukisha nyoa au itakua endelevu kwa matumizi ya kupaka tu hata baada ya kunyoa..Inapatikana wap hiyo bump solution?
Tunashukuru kwa somo mkuu,,so unapaka wakati gani ukisha nyoa au itakua endelevu kwa matumizi ya kupaka tu hata baada ya kunyoa..Inapatikana wap hiyo bump solution?
Mkuu kumbe citrus ya lemon ni sabun makin sana? Natumia sana hii kuogea, ila sijui faida ake.Usipende kunyoa mara kwa mara...ndevu ziachwe angalau wiki moja...usinyoe kabla vipele havijapona...usipake spirit kwani inakomaza ngozi...USINYOE NDEVU HADI KIWE KIPARA, ACHA KIDOGO...baada ya kunyoa kanda kwa maji moto sana...tumia sabuni iitwayo citrus ya lemon kunawia mara kwa mara..
NB; usizichukie ndevu, zipende na uwe unazipunguza na sio kuzitoa zote.
Namna hio mkuu,Raha ya dume ndevu mimi huwa nazisokota zangu
Achana na saloon, paka povu la sabuni ya takasa au limao la kutosha, na kisha nyoa na hizi machine za kawaida(gillet au lazzer) hutapata vipele.Nanyolea saloon kawaida
mimi nilisumbuliwa sana na mapele ya ndevu kipindi cha nyuma.. nimetumia kila aina ya ushauri.. niliwah pia kuomba ushauri hapaNaombeni msaada jinsi ya kumaliza vipere vidonda na chunus kwenye ndevu na shingo nateseka sana had kibaya
Ushauri wako ndo umenimaliza kabisa yaani vimeota Mara mbili zaidi mkuu m uwasho mda woteHatua ya kwanza kanyoe saluni kwa kutumia magic then ukihisi ndevu zinachomoza nyoa kwa kupaka shaving cream tumia shaver then paka after shave fanya hivyo kila unapohisi ndevu zinaanza kuchomoza usisubiri ndevu zikue
Naomba picha au model ya iyo mashine.Mkuu mimi nakushudia nilikuwa naota mapele baada ya kunyoa mpaka najiogopa. Kuna kipindi mpaka kidevu kilianza kutoa magamba ukijikuna. Ukichukulia na rangi ya ngozi yangu yaani kila MTU anaweza kujua kwamba nimezidiwa. Nilitumia dawa za kila aina bila mafanikio, scrub sijui ya chumvi inakuwa kama nimekolezea hivi. Niliponunua mashine yangu ya kunyolea kidevu changu kimekuwa safi yaani mpaka najiuliza ni nini kilinitokea. Na mashine yenyewe ni hela ndogo tu! Mi nilinunua 35000tshs
Huku ni kuwashwa washwa wallahFuga tu ndevu au pitia kitabu cha ilani ya ccm huenda wakawa wameandika kitu kuhusu vipele.
Shukran mkuu, situmii viwembe..nanyolea saloon..Pole sana...
1. Usirudie nyembe...
2. Usinyolee nyembe zile za mia mia za bei rahisi go for Gillette...
3. Tumia after shave...
Cc: mahondaw