Naomba msaada nimepata tatizo la vipele kwenye úume

karv

JF-Expert Member
Dec 26, 2019
1,799
3,221
Habari ya wakati huu

Nimepatwa na tatizo la vipele kwenye uume sio kwenye kichwa ni kwenye ngozi ya uume haviumi wala haviwashi kimuonekano kama unavyoona kwenye picha hapo.

Mara ya mwisho kukutana na mwanamke bila kinga ni mwaka mmoja uliopita na mara zote nimekuwa nikitumia kinga au abstain from sex.

Genital hygiene huwa sivai nguo ya ndani bila kuipiga pasi na kubadilishwa kila mara

Kama kuna dawa au njia nzuri ya kuweza kukabiliana navyo naomba msaada

images.jpg
 
Habari ya wakati huu

Nimepatwa na tatizo la vipele kwenye uume sio kwenye kichwa ni kwenye ngozi ya uume haviumi wala haviwashi kimuonekano kama unavyoona kwenye picha hapo.

Mara ya mwisho kukutana na mwanamke bila kinga ni mwaka mmoja uliopita na mara zote nimekuwa nikitumia kinga au abstain from sex.

Genital hygiene huwa sivai nguo ya ndani bila kuipiga pasi na kubadilishwa kila mara

Kama kuna dawa au njia nzuri ya kuweza kukabiliana navyo naomba msaada View attachment 2717837

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
pole sana
 
Genital Warts)HPV Human Papilloma Virus gonjwa la zinaa muone Dr na usifanye mapenzi na mwanamke utamuambukiza mwishowe apate CERVIX Cancer
 
Warts , hazina dawa ila zinapona haraka ukifata ushauri wa kitaalam, Google kuhus warts ukizijua hazitakusumbua kisha muone daktar
 
Genital Human Papilloma Viruses.Google halafu nenda kwa medical expert kesho.Usile pisi bila kinga au sitisha kwanza,dili navyo kwanza.Pole sana mkuu.
 
Back
Top Bottom