Tatizo la upele Kidevuni: Chanzo na matibabu yake

Nasumbuliwa na vipele baada ya kunyoa ndevu shingoni. Before nlikuwa natumia Skderm lakini sioni kwa sasa tena ikinifaa. Nadhani imeshanizoea.

Matumizi ya spirit pia after shaving hayajawa na manufaa kwangu. Napomaliza kunyoa kesho yake najikuta kuna vipele vingi shingo hadi chini ya taya. Binafsi napendelea kuondoa ndevu zote za chini na mustache pia nikiacha tu sharafa.

Naombeni solution ya hili ili nibaki kuwa na ngozi yangu laini kama awali. Natumia Gillete kunyolea na sometime machine hizi za kisasa cha kucharge. Bado shida inakuwepo. Msaada please.
Nenda ukanyolewe saluni
 
Back
Top Bottom