mtafiti muelewa
Senior Member
- Oct 16, 2013
- 186
- 98
pole sana kwa tatizo hili kuna sabuni inaitwa ANATIC HERBAL ESSENCE SOAP ni kiboko ya hilo tatizo na matatizo mengi ya ngozi. waweza kunitafuta kwa namba 0657317631 nikuelekeze kwa kuipata.Naomba msaada kwani kila ni ki shave kwa machine... iwe kila baada ya siku 5.. then na kandwa na maji moto... scrub,, na kutumia aina tofauti za after shave lakini tatizo bado.. Napenda kuuliza tofauti na Magic . Ni remover ipi naweza tumia bila kuhusisha mashine na kuacha ngoz yangu bila vipele kwani ngozi yangu ni higher sensitive .