KANE Ring Master
Senior Member
- Jan 16, 2021
- 185
- 255
Kila tatizo unaloliona au ulilonalo lina ufumbuzi wake!. Yaan huko nyuma karne zilizopita wazee wetu walikuwepo wenye matatizo kama yanayotupata leo hii na kuna maarifa waliyoyatumia na kutatutua matatizo yao.Wanajukwaa naomba kuuliza tatizo la maumbile ya kiume madogo isivyokawaida kwa mtu mzima linatibika? (Na nitafurahi kama nitapata pia briefing za namna yakupata tiba).
Ama mtu akizaliwa hivyo ndo ishatoka (mpaka atakufa bila kuwa na familia)?
Ni ishu serious sana naomba msaada.
Kwa mwenye msaada serious aje PM tafadhari
Uzuri (advantage kwako) ni kuwa mbinu walizozitumia kutatua matatizo yao waliziandika kama kumbukumbu (kwa jamii zilizotumia maandish enzi hizo). Mpaka leo kumbukumbu hizo zipo vitabuni, na kunauthibitisho wa ubora wa maarifa hayo bila madhara yoyote.
Mimi nitakusaidia jina la vitabu vyenye maarifa haya(BURE) vilivyoandikwa karne nyingi hapo mashariki ya kati , bara hindi pamoja na uchina. Ila vipo kwa tafsiri ya kiingereza. Utavidownload usome, vinginevyo utakuwa huna bahati utapo kutana na matapeli.