Mathias_95
Member
- Apr 17, 2021
- 26
- 80
Kama kuna mtu ambaye amewahi kutibiwa tatizo la maumbile madogo (kibamia) na akapona anisadie pia na mimi nipate tiba.
Tafadhali kama kuna mwenye uhakika na sehemu panapotolewa tiba ya uhakika anielekeze nami nikatibiwe kwa asiye na uhakika anaweza kuniweka wazi pia ili kuniepusha na gharama.
Tafadhali kama kuna mwenye uhakika na sehemu panapotolewa tiba ya uhakika anielekeze nami nikatibiwe kwa asiye na uhakika anaweza kuniweka wazi pia ili kuniepusha na gharama.