Tatizo la maumbile madogo (micro penis) linatibika?

Tatizo la maumbile madogo (micro penis) linatibika?

Jiamini jua namna ya kutumia kifaa chako Cha kazi. Kama wanaweza kujisugua wenyewe kwa wenyewe sembuse wewe unacho hicho kidogo. Brags about your own even if a tin[emoji123][emoji123]
We mzee ndio nchi mbili kweli ????
 
We mzee ndio nchi mbili kweli ????
Kumwingilia mwanamke size ya kifanyio ni sehemu ndogo sana kwenye mapenzi kikubwa maandalizi ya kihisia na kimwili kama hayo mambo mawili hayajakaa sawa hata uwe na kimguu hauwezi kumridhisha mwanamama kimsingi tatizo kwa nyakati hizi ni kutokana na utandawazi ie pornografia kwaiyo mtu anachokiona kule anategemea kiwe kwenye uhalisia ndio maana watu leo hii wanawaza dawa za kuongeza maumbile na nguvu. Pia ukiangalia suala la maumbile unategemea na jamii husika kiujumla suala la maumbile hakuna size muafaka kufurahia mapenzi maana kuna sababu nyingi za kufurahia mapenzi
 
Hii link haifunguki ama haifanyi kazi chief

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Sihusiki kwa namna yoyote kwenye uandishi wa hiyo link sema nimeona ni vyema nikawawekee wale wanaopata kuipata hiyo link hivyo nime copy na ku pest na Yaliyomo kwenye hiyo link ni hayo:

afya.com

about 4 years ago

SIRI YA MVUNGE KATIKA KUREFUSHA MAUMBILE(UUME)
Watu wengi wamekuwa wakitumia kutumia mabango, lengo likiwa kutangaza kazi zao, waganga wengi wa tiba asilia wamekuwa wakijinadi kuwa wanatoa tiba ya kurefusha maumbile ya siri ya wanaume, kukuza makalio au matiti.

Katika mitaa ya miji na majiji nchini, siyo jambo la ajabu kukutana na mabango hayo, ambayo hata hivyo kushamiri kwake kunaleta picha kwamba ni kutokana na uhitaji mkubwa wa huduma hiyo nchini,

Pia dawa zinazodaiwa kukuza makalio maarufu kama ‘mchina’, zimekuwa gumzo baada ya kuingia nchini, huku zikielezwa kukosa ubora na kwamba zina madhara makubwa.

Lakini, sasa unaweza kuachana na dawa hizo za Kichina, baada ya kugundulika mmea wenye uwezo wa kukuza makalio, matiti, pamoja na kurefusha uume.

Taarifa za kiutafiti zinautaja mti huo kwa jina la Mvunge, ukiwa na uwezo wa kukuza makalio, matiti na kurefusha uume.

Kaimu Msajili wa Tiba Asili na Tiba Mbadala nchini, Dk Naomi Mpemba anasema kuwa mmea huo ambao huwa ni mti mkubwa upo na kwamba una uwezo mkubwa wa kukuza maumbile hayo.

Anabainisha kuwa mmea huo ambao hukua na kuwa mti mkubwa huzaa matunda yanayotumika kama dawa na unapatikana wilayani Korogwe Mkoa wa Tanga, Pwani, Mbeya, Morogoro na baadhi ya mikoa nchini.

“Tulifuatilia na kutambua kuwa mti huo upo maeneo hayo na unatumiwa zaidi na waganga, Wa tiba asili,” anasema Dk Mpemba na kuongeza:

“Jina jingine unaitwa Miegeya, mara nyingi unastawi katika maeneo yenye ardhi ya unyevunyevu, una tabia ya kustawi kama Mwembe na matunda yake huonekana kufanana na Mbuyu.”

Hata hivyo, anasema kuwa asilimia kubwa ya waganga wa tiba asili na tiba mbadala wanaotumia dawa hiyo ni wale wasiokuwa na usajili kutoka baraza hilo, hivyo kufanya huduma hizo kinyume cha utaratibu.

“Kwa mujibu wa masharti yaliyopo katika agizo la Serikali kwa waganga hao, miiko, maadili na utendaji wa kazi zao umeelekeza kuwepo na usiri na kuaminiwa”anasema Dk Mpemba.

Mkuu wa Kitengo cha Utafiti wa Tiba za Asili wa Taasisi ya Utafiti wa Tiba nchini NIMR, Dk Hamis Malebo, alisema Nimr inaufahamu mmea huo, na kuthibitisha uwezo wake wa kufanya kazi

Alisema mmea huo kisayansi unaitwa Kigelia Africana na unapatikana katika maeneo mengi ya Afrika.

“Kuna magonjwa mengi sana ya zamani na yaliyoendelea kuibuka kwa sasa, kuna magonjwa yanayosababishwa na unywaji na ulaji mbovu, dhambi na ukosefu wa mazoezi, ili kuepusha gharama ya magonjwa haya Serikali inatakiwa kuwekeza elimu kwa jamii,”alisema Mwilongo.

Uchunguzi uliofanywa na gazeti hili unaonyesha kuwa mti huo umekuwa ukitumika kwa miaka mingi, ambapo baadhi ya wazazi ama vijana binafsi huamua kwenda kwa wataalamu wa tiba za asili na kupatiwa huduma hiyo baada ya kubainika kuwa maumbile yao kuwa madogo isivyo kawaida.

Mti huo pia unaelezwa kutumika kuponya wazee ambao viungo vyao vimepoteza uhalisia wake pamoja na kutibu ugonjwa wa kuziba njia ya haja ndogo, ukipata umaarufu katika maeneo ya Wilaya za Handeni, Kilindi na Bagamoyo mkoani Pwani,ambapo hupatikana zaidi maeneo ya mabondeni.
Mizizi, matunda, mbegu za matunda, magamba ya mti na majani vyote hutumika kama dawa na ch

Karibu kila sehemu ya mti huu hutumika kama tiba asili, kwa mfano kulainisha chakula, kutibu kushindwa kupumua, kutibu majeraha na maradhi ya ngozi.

Utafiti wa mti huo katika kutibu bakteria, fungasi na uvimbe unaendelea kufanyika katika nchi za Korea, Japan na India.

Ushuhuda

Mimi naetoa tiba hiyo ya asili wilayani Handeni Mkoa wa Tanga, nikkifahamika kwa jina la Dr. muksin ababi, nimetumia tiba hyo kutibu watu wengi mno wakiwamo vijana na wazee kutoka ndani na nje ya wilaya hii, waliohitaji kuimarishwa nyeti zao.

Mwenyekiti wa Chama cha Waganga wa Jadi (MACO) wilayani Handeni, anafafanua kwamba, kwa kutumia dawa hii , nyeti hukua kwa haraka katika muda usiozidi mwezi mmoja, kutokana na tunda la mti huo kukua haraka sababu kapelekewa dawa na kuipitisha dawa hii kama ya asili na isiyo na madhara kutumika apa handeni.

“Hilo jambo ni la kweli wengi ninaowatibu wana tatizo uume ni mdogo, na wengine nao ni wazee Kwa Vijana ambao wanaona mabadiliko katika sehemu hizo kwa kuwa ndogo, tofauti na awali, kama hajazaliwa hvo yamepungua sababu ya kujichua, lishe duni, ama stress nawasaidia sana kuyakuza kwa dawa hii

NB: KWA MAHITAJI YA DAWA AMBAYO TAYAR KWA MATUMIZI NIACHIE UJUMBE WATSAP

PIGA/WATSAP +255674665883

GHARAMA YA DAWA YA MVUNGE NI TSH 70,000/=

NB: NAKUPA WARRANT KABISA UHAKIKA ASILIMIA MIA

KAMA UNAKOSA NGUVU ZA KIUME NA KUWAHI KILELENI NA KUSHINDWA KURUDIA DAWA IPO MATATA SANA BEI ELF 60,000/=

ACHA KUTESEKA TANGA HAISHINDIKANAGI LOLOTE

ANDIKA “ MVUNGE UPO” NITAKUJIBU HAR 0674665873

23

13

3
 
Kuwa na uume mdogo sio tatizo, bali tatizo ni hisia unazokua nazo kwa kuwa na uume mdogo, na kadiri utakavyokua unapambana ili uume wako uongezeke ndivyo unavyolifanya tatizo liwe kubwa zaidi kwani hiyo nia yako haitafanikiwa.

Ajabu ni kwamba wanaume ndio wahangaikaji wa kutaka awe na uume mkubwa, ambapo wanawake hawasumbuki kutafuta mwanaume mwenye uume mkubwa, wao wanapenda mwenye uwezo wa kuwajali na kuwatunza.
 
Haifunguki
Mbona kwangu inafunguka?
Screenshot_20210809-071458.jpg
 
mtu akizaliwa hivyo ndo ishatoka (mpaka atakufa bila kuwa na familia)?
kila kiungo kinakua kwa rate yake, so penis nayo hukua ila kwa rate ndogo.

Pia unaweza pata inch unazotaka ila RPM zikashuka...

Kuhusu kupata familia (kwa mwanaume) ni mpaka uwe na uwezo wa kutoa manii kwa kiwango kinachohitajika (ziwe zimekomaa na nguvu ya kuzifanya zipige makasia ndani ya mbususu)

Ila mkuu usihofu, tupo wengi wenye maumbile madogo. (uniqueness)
kikubwa uwe na ujuzi wa kukitumia ipasavyo hiyo 2 inch. Piga mtizi, kula vizuri pia ondoa hofu... Kisha tafuta katoto kazuri anza kukapelekea 🔥.....

Ni mwendo kubadili RPM tu.
 
Usipate tabu kutumia ruler hata simu nyingi zina urefu wa inch 6 kuendlea😂😂😂anzia kupima na display ya simu yako
 
Wanajukwaa naomba kuuliza tatizo la maumbile ya kiume madogo isivyokawaida kwa mtu mzima linatibika? (Na nitafurahi kama nitapata pia briefing za namna yakupata tiba).

Ama mtu akizaliwa hivyo ndo ishatoka (mpaka atakufa bila kuwa na familia)?

Ni ishu serious sana naomba msaada.

Kwa mwenye msaada serious aje PM tafadhari
Tiba yake ya kudumu ni kupata 'micro vagina'.
 
Wanajukwaa naomba kuuliza tatizo la maumbile ya kiume madogo isivyokawaida kwa mtu mzima linatibika? (Na nitafurahi kama nitapata pia briefing za namna yakupata tiba).

Ama mtu akizaliwa hivyo ndo ishatoka (mpaka atakufa bila kuwa na familia)?

Ni ishu serious sana naomba msaada.

Kwa mwenye msaada serious aje PM tafadhari
Ha ha ha ha

Sent from my Nokia 3.2 using JamiiForums mobile app
 
Eti mtu ana nchi 2 ikiwa imesimama,hapo lazima vitoto vilawitiwe
 
HATA UKIWA NA KISU KIDOGO CHENYE MAKALI NI VYEMA SANA KULIKO KUWA NA KISU KIKUBWA HALAFU BUTU.

Ndugu yangu (2 inch mwenzangu) hebu tunoe hivi visu vyetu tafadhali. Ujasiri wa mwanaume upo kwenye kusimamia show na siyo ukubwa wa rungu.

"Mwenye kisu kikali ndiyo anakula nyama (siyo mwenye kisu kikubwa) "
 
Wanajukwaa naomba kuuliza tatizo la maumbile ya kiume madogo isivyokawaida kwa mtu mzima linatibika? (Na nitafurahi kama nitapata pia briefing za namna yakupata tiba).

Ama mtu akizaliwa hivyo ndo ishatoka (mpaka atakufa bila kuwa na familia)?

Ni ishu serious sana naomba msaada.

Kwa mwenye msaada serious aje PM tafadhari
Njoo inbox tujarbu nitskuelekeza nn cha kufanya
But am sory km huenda nimekukwaza
 
Back
Top Bottom