Mathias_95
Member
- Apr 17, 2021
- 26
- 80
Wanajukwaa naomba kuuliza tatizo la maumbile ya kiume madogo isivyokawaida kwa mtu mzima linatibika? (Na nitafurahi kama nitapata pia briefing za namna yakupata tiba).
Ama mtu akizaliwa hivyo ndo ishatoka (mpaka atakufa bila kuwa na familia)?
Ni ishu serious sana naomba msaada.
Kwa mwenye msaada serious aje PM tafadhari
Ama mtu akizaliwa hivyo ndo ishatoka (mpaka atakufa bila kuwa na familia)?
Ni ishu serious sana naomba msaada.
Kwa mwenye msaada serious aje PM tafadhari