Tatizo la kukatika katika umeme kuikosesha kura CCM

Tatizo la kukatika katika umeme kuikosesha kura CCM

Kwa taarifa yako ripoti ya Mwakyembe haikumtaja Lowassa. Acha habari za kusikia. Fuatilia mambo vizuri. Kama unao huo waraka uliomtaja Lowassa, uambatanishe kwenye uzi huu tafadhali

Bro ripoti ya Mwakyembe ni ndefu sana itafute uisome mwenyewe vizuri usiwe mvivu kwani binafsi hata jana usiku nimeisoma,, kwa kukukumbusha tu alipohojiwa Msabaha alisema yeye ni banguchiro ( yaani mbuzi wa kafara) muhusika ni waziri mkuu na pia alipohojiwa katibu mkuu alisema dili ni ya LOwassa na mshirika mwenzie kibiashara yaaani Rostam AZIZ,, kuna mahali mchakato walinyang'anywa tanesco ukabaki wizara ya nishati mpaka Tume ikajiuliza kiburi hicho wizara inapata wapi, na utakuta kuna barua wazir mkuu alizisaini na kuwaambia tanesco wakae pembeni,, utakuta kuna ushauri mzuri kutoka PPRA na tanesco lakini wizara ya nishati iliukataa na ofisi ya waziri mkuu ikabariki mchakato uendelee.. hata Msabaha alipoondoka akaja Karamagi bado OFisi ya waziri mkuu kushirikiana na karamagai ikawainaendelea kuissuport richmond vs dowans,, NENDA KAIPITIE USIKU HUU NA UISOME KWA MAKINI NENO MPAKA NENO UTAELEWA,, PIA TAFUTA DOCUMENTS ZIHUSUZO MGODI WA BUZWAGI NAZO ZISOME PIA UONI NI NINI KILITOKEA CHURCHILL HOTEL...
 
Nitaitwa Mad man vilevile kama nitamchagua mmoja wa wagombea urais kutoka ukawa ambaye ni mshiriki mkuu katika kusababisha tatizo hili la umeme kwa watanzania na pia aliuza moja ya mgodi na rafikiye.. pia anachangiwa na matajiri kwenda ikulu,,, karibu tuichagie ACT au Fahim dovutwa rais..

Bila shaka we ni mad man kwa kushindwa kujifikirisha kama mtunzi wa Richmond kaondoka kwenye mfumo mbona wasafi waliobaki wameshindwa kurekebisha hali? Ukweli unaujua, Waliobaki CCM ndiyo wenye Richmond!
 
Bila shaka we ni mad man kwa kushindwa kujifikirisha kama mtunzi wa Richmond kaondoka kwenye mfumo mbona wasafi waliobaki wameshindwa kurekebisha hali? Ukweli unaujua, Waliobaki CCM ndiyo wenye Richmond!

NDIO maana nimekushauri tumchague FAHIM DOVUTWA au HASHIM RUNGWE... hauna sababu ya kumchagua LOWASSA kaka...
 
Kwani lini nchi hii imekuwa na umeme wa uhakika? Zaidi tu ya ahadi za uongo?
 
Hata ukipigia CCM tunaiharibu hatuitaki maana haipunguzi 84% tunazoshinda.
Huu ni mwaka wa mijeled tu UKAWA.
 
Bro ripoti ya Mwakyembe ni ndefu sana itafute uisome mwenyewe vizuri usiwe mvivu kwani binafsi hata jana usiku nimeisoma,, kwa kukukumbusha tu alipohojiwa Msabaha alisema yeye ni banguchiro ( yaani mbuzi wa kafara) muhusika ni waziri mkuu na pia alipohojiwa katibu mkuu alisema dili ni ya LOwassa na mshirika mwenzie kibiashara yaaani Rostam AZIZ,, kuna mahali mchakato walinyang'anywa tanesco ukabaki wizara ya nishati mpaka Tume ikajiuliza kiburi hicho wizara inapata wapi, na utakuta kuna barua wazir mkuu alizisaini na kuwaambia tanesco wakae pembeni,, utakuta kuna ushauri mzuri kutoka PPRA na tanesco lakini wizara ya nishati iliukataa na ofisi ya waziri mkuu ikabariki mchakato uendelee.. hata Msabaha alipoondoka akaja Karamagi bado OFisi ya waziri mkuu kushirikiana na karamagai ikawainaendelea kuissuport richmond vs dowans,, NENDA KAIPITIE USIKU HUU NA UISOME KWA MAKINI NENO MPAKA NENO UTAELEWA,, PIA TAFUTA DOCUMENTS ZIHUSUZO MGODI WA BUZWAGI NAZO ZISOME PIA UONI NI NINI KILITOKEA CHURCHILL HOTEL...
ok brother. kwa hiyo kweli unataka kunishauri niipigie kura ccm kwa sababu richmond ni ya lowassa?
 
ok brother. kwa hiyo kweli unataka kunishauri niipigie kura ccm kwa sababu richmond ni ya lowassa?

No hiyo sio sababu mkuu,, sababu ni kwamba EL ana madoa makubwa/kwa maana ya uadilifu,uongo,uzembe,kukosa uzalendo, uchu wa madaraka, matumizi ya hela kama silaha ya kwenda ikulu, urafiki wa karibu na ushirikiano wa kibiashara na wahalifu walioshiriki na wanaoshiriki kuifilisi nchi, marafiki zake hao ukumbuke alisema ndio wanampa hizo hela, utajiri usioleweka, hayuko fiti kiafya, usaliti...

Urais ni taasisi kubwa inayohitaji mtu makini,mchapa kazi, mwenye afya njema, El hafai kuwa kwenye hiyo taasisi hana vigezo.
 
PAC ya ZZK ilieleza kila kitu kama Mwakyembe alivyoeleza kila kitu... ishi kwa uhalisia usipende kuishi kwa hisia...

Teh..teh..teh...WATANZANIA HATUDANGANYIKI NG'O...hatuwapi kura CCM wezi wa mali za umma kwa miaka zaidi ya 50.
 
Teh..teh..teh...WATANZANIA HATUDANGANYIKI NG'O...hatuwapi kura CCM wezi wa mali za umma kwa miaka zaidi ya 50.

Wewe hutaipa kura ila kunawengine nao wanasabau za kuichagua... na vyama viko vingi mkuu ACT nk na kila mtu ana haki kitatiba kuchagua kimfaacho,,,
 
Kuna rafiki yangu anafanya kazi TANESCO wakati tunapata kilaji nilimuuliza sababu za kukata umeme wakati mwingine zaidi ya masaa 36 wakati ijumaa ya wiki iliyopita mlitamba kuwa mmewasha mitambo mingi na sasa hakutakuwa na kukatikakatika kwa umeme tena lakini hali ndo imekuwa mbaya kuliko, si afadhari watujulishe kama kuna mgao tujipange .

Majibu yake yalikuwa kama ifuatavyo:-

" Mgao wa umeme hakuna ila tumechoka kabisa na serikali ya CCM kwani shirika letu ndilo limekuwa kichwa cha mwendawazimu . we jaribu kuona kashifa zote kubwakubwa utazikuta TANESCO, kuanzia IPTL, RICHMOND, ESCROW n.k.,

Pia kuna kashfa ndogondoga zinazohusu ununuzi wa mafuta mazito , nguzo, ununuzi wa misumari badala ya spea n.k.

Tuna muda sasa hatujaongezwa mishahara ukilinganisha na baadhi ya wakala wa serikali tukiomba nyongeza tunaambiwa shirika linajiendesha kwa hasara, tumeona adui yetu ni CCM hivyo tunakata makusudi hasa kipindi hiki cha kampeni ili kuwachonganisha CCM na wapiga kura ili wasiichague oktoba 25" .

Je hii inaweza kuwa kweli au kuna tatizo jingine la kiufundi.
 
Mhhhhh ccm haikosi sababu. Kwa hiyo chadema ndio wanakata umeme. 😅😅😅😅
 
huku kwet tegeta wamishakata, ccm inabidi iondoke tu! maana hakuna namna

Na we umeuvaa mkenge wa hujuma zinazoratibiwa na friends of Lowasa!! Pamoja na hujuma zao, watabainika na watatafuta kazi ya kufanya baada ya oct 25, HAPA KAZI TU!
 
Huo ni uongo. Kwa issue ya shirika kujiendesha kihasara ni kweli waweza ingia hata google na ufungue TANESCO utakuta habari kibao mojawapo ikiwa ni hasara ya zaidi ya Tsh 460 Bilioni.
Kuhusu kukata umeme kwasababu za kisiasa ni uongo kwakuwa TANESCO ipo chini ya Wizara ya Nishati na Madini. Kumbuka CCM ndio inayounda serikali.
Hapa kwa taarifa yako tu na wengine pia ni kwamba siasa haiwezi kuingilia technical issues hata kama watalazimika wanasiasa kuweka siasa kwenye masuala ya ufundi nchi inaweza kaa gizani kwa muda mrefu.
 
ha ha haa ni sheda, moro tushazoea..
Mkuu Tabora na Geita ni zaidi juzi usiku wa jumamosi kuamkia jumapili walikata umeme alfajiri ya kumi na moja mpaka naondoka jumatatu asubuhi umeme ulikuwa haujarudi na jana usiku hapa Tabora kulikuwa hakuna umeme .
 
Back
Top Bottom