Tatizo la kukatika katika umeme kuikosesha kura CCM

Tatizo la kukatika katika umeme kuikosesha kura CCM

Katika hii nchi jambo la kukatika umeme bila ya taarifa, ni jambo la kawaida sana.
 
Hivi kunahaja gani kuiweka madarakani serikali kama hii ya CCM? Miaka nenda rudi tatizo la umeme imeshndwa kulitatua ikiwa na nchi yenye kila aina ya kipato kutokana na rasilimali lukuki tulizo nazo!!?

Nasema haya,kwa sababu,mimi ni mfanyabiashara wa samaki wabichi kutoka mwanza,umeme umekua ukikatika toka mwanzoni mwa wiki hii na ni kwa zaidi ya masaa 7 hapa dar,na tena bila taarifa yoyote kwa sisi wateja wao (ambao hata hivyo wanatuuzia umeme bei aghali sana).

Kukatika huku kwa umeme kumepelekea mimi kupata hasara ya zaidi ya sh milion 2,baada ya kiasi kikubwa cha mzigo nilioagiza kuharibika/kuoza.
Kwa mchana nimekua nikitumia generator kuendesha ma freezer pindi umeme unapokatika,lakini juzi ilishndikana mana umeme ulikatika usiku kucha na ninapoishi na center ya biashara ni mbali kidogo.

Najiuliza hasara kama hii iliyonikuta,je imewakuta wajasiriamali na wafanyabiashara wadogo na wakati wangapi?

Pia nakua sio sababu kwann kuichagua serikali hii ambayo imekua ikiwanyonya wananchi wake kwa kila hali na hata kushindwa kuwajali kwa huduma ambazo wamekua wakizilipia kwa bei aghali sana.
 
Hata nikifa kura yangu na kitambulisho changu watakisikia hewani tu
 
hongera kwa uamuzi sahihi
attachment.php
 
Hivi kunahaja gani kuiweka madarakani serikali kama hii ya ccm?miaka nenda rudi tatizo la umeme imeshndwa kulitatua ikiwa na nchi yenye kila aina ya kipato kutokana na rasilimali lukuki tulizo nazo!!??
Nasema haya,kwa sababu,mimi ni mfanyabiashara wa samaki wabichi kutoka mwanza,umeme umekua ukikatika toka mwanzoni mwa wiki hii na ni kwa zaidi ya masaa 7 hapa dar,na tena bila taarifa yoyote kwa sisi wateja wao (ambao hata hivyo wanatuuzia umeme bei aghali sana),
Kukatika huku kwa umeme kumepelekea mimi kupata hasara ya zaidi ya sh milion 2,baada ya kiasi kikubwa cha mzigo nilioagiza kuharibika/kuoza.
Kwa mchana nimekua nikitumia generator kuendesha ma freezer pindi umeme unapokatika,lakini juzi ilishndikana mana umeme ulikatika usiku kucha na ninapoishi na center ya biashara ni mbali kidogo.
Najiuliza hasara kama hii iliyonikuta,je imewakuta wajasiriamali na wafanyabiashara wadogo na wakati wangapi?
Pia nakua sio sababu kwann kuichagua serikali hii ambayo imekua ikiwanyonya wananchi wake kwa kila hali na hata kushindwa kuwajali kwa huduma ambazo wamekua wakizilipia kwa bei aghali sana.

Mbona wenzako tulisha hama miaka mingi?ulichelewa kuchukua maamuzi mkuu
 
Kwahivi sasa kuna Mgao wa umeme karibia mikoa yote ya Tanzania ukiondoa Kagera hasa Bukoba na wilaya zake ndo hua hawajui nini maana ya mgao wa Umeme kwani wanatumia umeme wa uhakika kutoka UGANDA....Mgao wa Umeme ni kila Mwaka hivi serikali ya CCM itawaambia nini waTZ hasa ktk kipindi hiki cha UCHAGUZI na ambapo shilingi yetu ikiwa kwenye free fall dhidi yaDOLA , Biashara nyingi zimepungua Uzalishaji ndo usiseme umepungua balaa mabiashara ya wajasiriamali km wasamaki masaloon nk Umeshuka kwa 60%....
 
Jiandikishe ili upate kifyekeo (kadi) .... Ujinga huu mwisho October ... CCM must go
 
Hili swala linaumiza sana watanzania wanajitahidi kujiendeleza kwa kujipatia kipato wakati huo huo serikali yao inapambana kuwaangusha kwa hili swala umeme,Serikali ikiri kabisa hili swala la umeme wameshindwa kabisaaaaa halafu kuna mijitu bila aibu kabisa utaisikia ikisema CCM oyeeee!!!Sijui tumelogwa na nani.
 
Oct, 2015 Mh. Lowassa ndyo sululisho la matatizo ya watanzani, tumuamini na tumpe kura rais mchapa kazi,muadilifu,msikivu na mwenye Nia ya dhati kumkomboa mtanzania kutoka kwa mkoloni mweusi,wezi na mafisadi(ccm)
 
Hivi serikali au Tanesco wenyewe wameshatoa tamko lolote kuhusiana na huu mgao au ni wa kimya kimya
 
Kwahivi sasa kuna Mgao wa umeme karibia mikoa yote ya Tanzania ukiondoa Kagera hasa Bukoba na wilaya zake ndo hua hawajui nini maana ya mgao wa Umeme kwani wanatumia umeme wa uhakika kutogka UGANDA....Mgao wa Umeme ni kila Mwaka hivi serikali ya CCM itawaambia nini waTZ hasa ktk kipindi hiki cha UCHAGUZI na ambapo shilingi yetu ikiwa kwenye free fall dhidi yaDOLA , Biashara nyingi zimepungua Uzalishaji ndo usiseme umepungua balaa mabiashara ya wajasiriamali km wasamaki masaloon nk Umeshuka kwa 60%....
Itawaambia "sitawaangusha" cc Magufuli.
 
Serikali ya CCM ipo busy Austraria wakipewa Hon doctorate za kupunguza Umaskini kwa dizaini hii....Wazungu hua wanajua kucheza na fikra za viongozi wapuuzi wakiAfrika wanaopenda kupakwa mafuta kwa mgongo wa Chupa...Matatizo mengi ya Nchini viongozi wetu hawataki kujua hasa wakiNA VascoDAGAMA...Ngoja msemaji wao wa bao la mkononi NAPE aje awaeleze waTZ kuhusu huu mgao wa umeme....Juzi tulisikia TAKUKURU wakimwambia NaPe kua bao lako la mkononi mwisho .......
 
Mgao wa kimya kimya huu. Shame on us. Ina kera sana.
 
Back
Top Bottom