IPTL imetuua... na aliye madarakani ndio share holder mkubwa... ref.. Escrow...!!!
Niinyime mara ngapi
Tar 24 October narudi nyumbani Mongolia........twende ukatembee...........
Umehama Yaeda Chini?
pumba mno..jaribu tenaRichmond imetuua kwa miaka 8 na mgombea urais wa ukawa ndiye mmiliki...
I am definitely a Mad Man ikiwa nitaipa kura yangu kwa aliyetawala nchi hii kwa nusu karne na ushee !
Kwa hili moja tu! La UMEME !
Kadhia ndiyo imekua kadhia !
Kukicha kila Mtanzania analia UMEME !
Sina muda wa kutoa defination ya Mad man !
Yamkini staki kuamini kuna mtu above 18 , humu ndani hajui Mad ni nini , naamini asiyejua nae ni Mad man !
Natahadharisha kwamba watoto na wajukuu zetu , watakuja kufukua makaburi yetu , then wachukue vichwa vyetu na kuvipeleka maabara kuvipima ili watambue uwezo wetu wa kufikiri , pale watakapotambua 2015 tulikipa chama cha mapinduzi nchi .
Tutapanga next time bibie mana nikishawachinja hawa kijani hiyo tar 25 nakimbilia Kenya mapimzikoni hadi EL atangazwe na masisiem yakipunguza vurugu ndo ntarudiTar 24 October narudi nyumbani Mongolia........twende ukatembee...........
pumba mno..jaribu tena
Kwa taarifa yako ripoti ya Mwakyembe haikumtaja Lowassa. Acha habari za kusikia. Fuatilia mambo vizuri. Kama unao huo waraka uliomtaja Lowassa, uambatanishe kwenye uzi huu tafadhalikasome ripoti ya mwakyembe vizuri na kiundani na shirikisha ubongo wako,,,