Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 42,099
- 12,926
Sasa nini kinazuia mpaka sasa wasikamilishe kazi??Jaman mda si mrefu Nimeongea na Mtaalam mmoja wa Tanesco anasema hata kama mitambo yote ya maji ikizimwa, mitambo ya gesi na mafuta iliyopo inatosholeza mahitaji ya nchi. Big up tanesco chapeni kazi achaneni na siasa. So swala la huu umeme kukatika katika mi swala la kiufundi na sio siasa watz wenzangu. Kuna wati wanapenda kuongea viti kuwatia wenzao hasira bila ya kuwa na full details tuachen hizo jmn si nzur