Tatizo la kukatika katika umeme kuikosesha kura CCM

Tatizo la kukatika katika umeme kuikosesha kura CCM

Mkuu watanzania hatutaki porojo, tunataka umeme tuutumie kufanya uzalishaji tulipe kodi nchi iendelee. Hizi stori zenu za megawatt tumezichoka, mnaibia hata wagonjwa?
Kama umechoka kusubiria umeme ulipo Dar , si ufuate hukohuko Mtwara ujifulie umeme wa kutosha wa gesi?
 
Leo ni siku ya pili ambapo maeneo mengi ya jiji la Dar hayana umeme.

Hii nchi tutakimbilia wapi jamani kila kitu tumeshindwa?

Alafu tunategemea kukua kwa uchumi. Kweli?? Na hakuna taarifa yoyote iliyotolewa mapaka sasa!

Kwakweli navumilia kuwa Mtanzania.
 
kwani wakati mnaipigia kura CCM hamkuyajua haya? HIyo ndiyo CCM ya Kikwete bwana na mikakati ya kuongeza umaskini wa kila mtanzania.
 
Yaanzishwe mashirika mbadala kuipa changamoto hii taa nesko kama yalivyo makampuni ya simu za mikononi ili tugawanyike.
 
Sijui hawaoni Aibu wakienda nchi za wenzao kuna pendeza,hawana hata Ari ya moyo kua kwawenzao kuzuri wao wambie kusafiri tuu bila sababu ya msingi tangu waanze kusafiri sijakiona hata cha mana kwenye nchi...kazi kusifia kwa wenzao tuu.
 
Mkuu wapi hiyo? Au Kigamboni??

kiongozi, kuanzia kuanzia gongo la mboto hadi kisarawe hakuna umeme tangu siku ya Jumapili saa 4 asubuhi, hali ni ngumu sana, hakuna taarifa kutoka TANESCO, inakera kwa kweli.....
yaani kila kitu kimeharibika, unaamka asubuhi hujui unavaa nini....
 
kwani wakati mnaipigia kura CCM hamkuyajua haya? HIyo ndiyo CCM ya Kikwete bwana na mikakati ya kuongeza umaskini wa kila mtanzania.

sidhani ikiwa hata wewe ambae hukuipigia ccm kura, kwako unapata huduma zote ipasavyo......
 
kiongozi, kuanzia kuanzia gongo la mboto hadi kisarawe hakuna umeme tangu siku ya Jumapili saa 4 asubuhi, hali ni ngumu sana, hakuna taarifa kutoka TANESCO, inakera kwa kweli.....
yaani kila kitu kimeharibika, unaamka asubuhi hujui unavaa nini....

Hivi kuna taarifa yoyote iliyotolewa kuhusu tatizo? Manake Tanesco naona wanatoa huduma yao kana kwamba ni hisani...
 
sidhani ikiwa hata wewe ambae hukuipigia ccm kura, kwako unapata huduma zote ipasavyo......
at least si-regret kwa kutumia kura yangu kuwapa walafi na wasiojiweza kiuongozi. Kwahivi sasa nawashangaa hao waliokipa kura chama kinachotufanya watanzania kama mazezeta.
 
Viongozi wanapenda kudharau sana wananchi sio haki, hawapendi kuongea ukweli pia
 
Aisee,Wa Mkoani mkija Dar mnatabu kweli.
Yaani siku mbili tu unapiga kelele kama vile umeme ulizaliwa nao
 
"Mgao wa umeme utakuwa historia katika nchi yetu", mwisho wa kunukuu!
 
Back
Top Bottom