Sigara Kali
JF-Expert Member
- May 28, 2017
- 3,623
- 8,428
Salaam kwenu wakulungwa
Baada ya kuishi kwenye mahusiano na mama watoto wangu kwa miaka 8 bila ndoa nimefikiria kufunga ndoa ya kiserikali. Nimeamua hivi ili kila mtu anendelee na imani yake kwa Amani na upendo, yeye mkristo na Mimi muislam
Sasa wajuvi wa mambo naomba mnijuze taratibu zote za kufunga hii ndoa zinavyokuwa ,Lengo niwe na ufahamu mapema kabla sijaanza kufuatilia mchakato mzima
Jumapili njema.
Baada ya kuishi kwenye mahusiano na mama watoto wangu kwa miaka 8 bila ndoa nimefikiria kufunga ndoa ya kiserikali. Nimeamua hivi ili kila mtu anendelee na imani yake kwa Amani na upendo, yeye mkristo na Mimi muislam
Sasa wajuvi wa mambo naomba mnijuze taratibu zote za kufunga hii ndoa zinavyokuwa ,Lengo niwe na ufahamu mapema kabla sijaanza kufuatilia mchakato mzima
Jumapili njema.