Taratibu za kufunga ndoa ya Serikali (Bomani)

Taratibu za kufunga ndoa ya Serikali (Bomani)

Kwa nini umefikilia kufunga ndoa ya kiserikali na si ya dini? Dini zenu tofauti sawa, kwanini mmoja wenu asibadili, miaka 8 ni mingi umezini imetosha sasa au unataka kuendelea kuwa mzinifu?
Kwahiyo mababu zetu wa zamanii wotee walikua wazinifu..
Kwahiyo wajiandae na moto tu?
Acha kuwaza mgando.
Hao waarabu na wazungu wasingekuja ungekua dini gani?

#YNWA
 
Muislamu Mwanaume anaweza kumoa Mwanamke wa Kikrosto/Kiyaudi pale vigezo na masharti vitakapokuwa vimezingatiwa na kutimia. Lakini Mwanamke Muislamu hawezi kuolewa na Mwanaume Mkristo/Myaudi.
hii dini inawatisha sana waumini wake 😞
 
Una miakili weye acha tuu...tungekuwa na watu kama weye wengi zaidi duniani tungefurahi sana.
duniani?!
hii tanzania tu kuna watu mazezeta sana, kiukweli tunahitaji watu wenye maono na wenye kuheshimu maamuzi ya wengine bila kujudge na kutishana. kuna viumbe especially ndani ya tanzania yetu wanapenda kuwafanyia watu wengine maamuzi! wananistaajabisha sana!!!
 
Unapenda wakati mwenzako amejichanganya!!

Hivi nikuulizeni- baba na mama tofauti dini zao watoto watawalea vipi mpaka wafikie kuchagua dini waitakayo? Nitakupa mifano kadhaa

1.baba anataka atangulize kulia katika mambo yake (mfano kunawa) huku mama anatanguliza kushoto mtoto akiuliza yeye atangulize kipi mtamjibu nini

2.baba anasema bismillah anagonga msosi mama anapiga ishara ya msalaba akiwa amefunga macho anaomba kwanza ndo aanze kula je mtoto ataambatana na nani kati yao

3.baba anatoka anaenda msikitini mama anatoka anaenda kanisani je mtoto ataambatana na yupi au ndo utamwambia atulie nyumbani asubiri awe mkubwa achague kwa kwenda

Na kadhalika!

4.
kati ya ubinadamu na dini kipi kimeanza? unaleta mambo ya ajabu sna ndugu Trainee hauna fikra huru na chanya.
unataka kusema kusingekuwa na dini yoyote watu wasingeoana? unayumba sana
 
Ndio unakuwa umezini,kwa sababu ,dini yeyote haitambui ndoa ya selikali japo selikali inatambua ndoa ya kidini,kimila na kiselikali,kwa hiyo ukifunga ndoa bomani kidini ww ni mzinifu
hizo dini zote unazoziona tanzania zinaenda serikalini kusajiliwa kama unavyoona vyama vya siasa.
 
Utaratibu unaanzia kwa AFISA Mtendaji wa Kata ya Wilaya unayoishi, Kwa ajili ya kupata barua ya utambulisho wa makazi yako.

Halafu unaipeleka hiyo barua kwa Mkuu wa wilaya kwa ajili ya kuandikisha ndoa, Baada ya hapo Tangazo litabandikwa hapo wilayani kwenye ubao wa matangazo, Utalipia 40,000/=Tsh.

Ndoa itafugwa siku ya Jumanne au Ijumaa Asubuhi (Kulingana na Ratiba ya Ofisi). Atakayefungisha Ni Mkuu wa wilaya au katibu tawala. Ufike na mashahidi wawili kwa kila mmoja wenu Mkiwa mmeva mavazi ya heshima. Baada ya hapo mtapokea Vyeti vya ndoa ambayo inatambulika kisheria.

My take. Nibora Ndoa ya Bomani kuliko kuishi kienyeji hasa Kama una Mali na watoto ili kuwalinda kisheria Pindi ikitokea umewahi kutangulia mbele ya haki.
Nawasilisha.
View attachment 1485304

Huyu ndio kamjibu mtoa mada,wengine wengi ujuaji mwiingi usiokuwa na tija,kongole mkuu
 
Watoto wapo ,wakikua watachagua imani itayowafaa kati ya uislam au ukristo,siwezi kuwalazimisha ,wao ni nafsi huru wataamua wenyewe,cha msingi wanatambua Mimi ni baba yao,so nawapa Uhuru wa kuchagua imani ya kufuata
Mkuu,plz don't do this.... tafadhali nakuomba! Ambao tumepata hizi changamoto tunajua haya Mambo ya watoto watafuata watakachotaka sijui nn Ni kusumbua watoto trust me, wazazi wangu walifanya unachotaka kufanya wewe inauma Sana inaumiza hata Kama hawatakwambia au wakakwambia muda ambao wewe umeshatangulia mbele za haki. Em usichkulie simple you have to settle this pengine hiyo ndo jihad yako MUNGU amekupa upigane nayo. I wish you all the best In shaa Allah!
 
Kama upo Dar nenda pale kwa Makonda hata nusu saa haifiki mtakuwa mshasaini mikataba yenu ya ndoa
 
leta maana yako Trainee siyo unakosoa bila kuleta maana ambayo kwako ni sahihi.
Angalia hapa vizuri utaelewa tu mkuuView attachment 1485644
20200622_075509.jpg
 
kati ya ubinadamu na dini kipi kimeanza? unaleta mambo ya ajabu sna ndugu Trainee hauna fikra huru na chanya.
unataka kusema kusingekuwa na dini yoyote watu wasingeoana? unayumba sana
Sasa boss hivi kati ya anayemweka mtoto njia panda haelewi afanye lipi na anayemwandaa katika maadili fulani yupi anayumba?
 
Dah Mimi nawaonea huruma hao watoto wenu malezi ya dini tofauti ni sawa na kuchanganya petrol na diesel kwenye tank moja.
 
Sasa boss hivi kati ya anayemweka mtoto njia panda haelewi afanye lipi na anayemwandaa katika maadili fulani yupi anayumba?
atajua wenyewe anafanyaje. hayo ni mambo yake na familia yake aliyoamua kuishi nayo. yaani watayajenga vile watakavyo
 
atajua wenyewe anafanyaje. hayo ni mambo yake na familia yake aliyoamua kuishi nayo. yaani watayajenga vile watakavyo
Mwamba anakwambia yeye muislam, ila watoto watachagua dini waitakayo, dah dunia hii.....hajui kwamba akifa watoto kama ni waislamu na wema ni moja ya hazina itakayomuombea dua na yeye kufaidika. Muhimu sana tujifunze walau basics za dini, mapenz ya muda hupofusha macho ya milele, ni hatari sana,Mungu atusaidie!

Sent from my SM-N910U using JamiiForums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: qim
Mkuu,plz don't do this.... tafadhali nakuomba! Ambao tumepata hizi changamoto tunajua haya Mambo ya watoto watafuata watakachotaka sijui nn Ni kusumbua watoto trust me, wazazi wangu walifanya unachotaka kufanya wewe inauma Sana inaumiza hata Kama hawatakwambia au wakakwambia muda ambao wewe umeshatangulia mbele za haki. Em usichkulie simple you have to settle this pengine hiyo ndo jihad yako MUNGU amekupa upigane nayo. I wish you all the best In shaa Allah!
Kitakachotokea kwa hao watoto watafuata imani ya mama kwa kuwa mama muda mwingi yuko na watoto tofauti na baba.
Watoto watakuwa na ubini wa baba, imani ya mama. Mimi ni muhanga kwenye hili
 
Eti wewe muislamu, we sema tu wewe muislamu jina




Waislamu hawafungi ndoa za hivyo kirahisi
 
Kitakachotokea kwa hao watoto watafuata imani ya mama kwa kuwa mama muda mwingi yuko na watoto tofauti na baba.
Watoto watakuwa na ubini wa baba, imani ya mama. Mimi ni muhanga kwenye hili
Sio rahisi hasa Kama situation Ni kwamba wamepokea mafundisho ya pande zote mbili, inafika wakati unaanza kusema kwanza dini zenyewe zimeletwa tu bwana ntaishi tu kwenye misingi mizuri Basi baadae unasema kwanza dini zote Ni sawa baadae unakua dillemma Sasa ikifika hapa ndo MUNGU tu akusaidie lasivyo unakua mpagani,Yani I don't want this to my kids kabisaa Sasa hivi kuchagua mchumba ninaangalia dini kwanza halafu ndo twende mbele.
 
Back
Top Bottom