Kinjeketile
JF-Expert Member
- Dec 24, 2013
- 1,001
- 1,687
hii dini inawatisha sana waumini wake 😞
Ok!! Uzuri ni kwamba wewe siyo Muumini wa hiyo Dini.
Unakaribishwa sana wala hakuna kutishana kama unavyofikiria. Amesema Mtume wetu Mtukufu"Uislamu ni mwepesi,atakayeufanya kuwa mzito basi utamshinda" au kama alivyosema.