Malaika Gabrieli
JF-Expert Member
- May 28, 2020
- 3,295
- 6,126
pamoja sana Wang ShuSawa mkuu 😂😂😂
pamoja sana Wang ShuSawa mkuu 😂😂😂
imani ipo kwenye dini tu? kumbuka hata mila zina imaniMimi naomba kufahamishwa sababu ya kufungwa ndoa bomani
Nijuavyo ndoa ni sehemu ya ibada kwa maana inafungamana na imani
Lengo hasa nini? wajuvi tafadhali
Anabakiaje na uisilamu ndani ya uzizi labda jina ila kwa imani atakua kesha ivuaKumbuka umesema wewe ni muislamu na unataka uendelee kubakia na uislamu ndomana jamaa akakushauri kihivyo (kiislamu)
Ni kweli kabisa usemalo,imani ipo kwenye dini tu? kumbuka hata mila zina imani
Mtoa mada anadini wasio dini sina shida nao mimiimani ipo kwenye dini tu? kumbuka hata mila zina imani
sawa mkuu.Mtoa mada anadini wasio dini sina shida nao mimi
serikali inakubali imani yoyote ile.Ni kweli kabisa usemalo,
Kwani na ndoa za kiserikali zina imani yoyote inahusishwa?
Nataka kujua lengo la ndoa hizo nini kwa maan hazitamtakasa kwa Mungusawa mkuu.
kwa hyo unamshauri asioe bomani?
Mkuu Tusiame nje ya mada,Hapa tunazungumzia ndoa ya bomani,mi nimekuuliza ivyo kwasababu uliye m-quote aliandika kuwa ndoa ni ibada na inahusishwa na imani akimshali jamaa asinge ndoa ya bomani.serikali inakubali imani yoyote ile.
kati ya dini na imani kipi kilichoanza? na kati ya binadamu na dini kipi kilichoanza?
ya kwa Mungu watajibu wenyewe au serikali iliyoidhinisha hyo ndoa, waoane tu maana ndoa ya kiserikali inatambulika kila mahali all over the worldNataka kujua lengo la ndoa hizo nini kwa maan hazitamtakasa kwa Mungu
Je kunafaida gani mana walishakua pamoja kwa mda mrefu
maana ya ndoa ya kiserikali ni muunganiko wa hiari kati ya mwanaume na mwanamke unaokusudiwa kudumu kwa muda wa maisha yao yote.Mkuu Tusiame nje ya mada,Hapa tunazungumzia ndoa ya bomani,mi nimekuuliza ivyo kwasababu uliye m-quote aliandika kuwa ndoa ni ibada na inahusishwa na imani akimshali jamaa asinge ndoa ya bomani.
Wewe ukauliza kuhusu dini pekee ndio yenye imani, ukaongeza na mila pia kuwa zina imani,ni sawa.
Ndio maana nikakuuliza je uko bomani kuna imani yoyote inahusishwa ikifungwa ndoa?
ahsantekwa elimu.maana ya ndoa ya kiserikali ni muunganiko wa hiari kati ya mwanaume na mwanamke unaokusudiwa kudumu kwa muda wa maisha yao yote.
Ukweli mchungu ila kuna situation ambazo hamna anaeweza kubadili dini kumfata mwenzie, sasa tufanyaje ?kwa nini umefikilia kufunga ndoa ya kiserikali na si ya dini?
Dini zenu tofauti sawa,kwanini mmoja wenu asibadili, miaka 8 ni mingi umezini imetosha sasa au unataka kuendelea kuwa mzinifu?
Mmmmmmmh... basi hamna lakini kwenye mapenzi hakuna ushindani usio na muafaka.Ukweli mchungu ila kuna situation ambazo hamna anaeweza kubadili dini kumfata mwenzie, sasa tufanyaje ?
muafaka ndio alioufanya jamaa wa kutaka kufunga ndoa bomaniMmmmmmmh... basi hamna lakini kwenye mapenzi hakuna ushindani usio na muafaka.
muafaka ndio alioufanya jamaa wa kutaka kufunga ndoa bomaniMmmmmmmh... basi hamna lakini kwenye mapenzi hakuna ushindani usio na muafaka.
Mke ana imani Kali ya kikristo ,na kuja kwenye uislam anakuwa mgumu,siwezi kumlazimisha cha muhimu upendo masuala ya dini kila mmoja abaki na yakeKumbuka umesema wewe ni muislamu na unataka uendelee kubakia na uislamu ndomana jamaa akakushauri kihivyo (kiislamu)