ofisa
JF-Expert Member
- May 15, 2011
- 4,139
- 3,767
ndio maana wabongo watu wa kati na wapiga dili hawaishi,lile tangazo la msukuma halikukutosha ?
ushauri mkubwa ni ufike jieleze uambiwe ufuate maelezo lakini ni bure.
kwa hili lililotangazwa kwenye media unasita je yasiyotangazwa si ndio mnalizwa na watoto wa mjini.
ushauri mkubwa ni ufike jieleze uambiwe ufuate maelezo lakini ni bure.
kwa hili lililotangazwa kwenye media unasita je yasiyotangazwa si ndio mnalizwa na watoto wa mjini.