Sokoro waito
JF-Expert Member
- Nov 21, 2014
- 2,201
- 2,587
Samahani mkuu, ni biashara gani hiyo ya online inataka TIN Number, tufumbue macho.
Vema kaka.....nimekuelewa vizuri.Nenda kasajili jina la biashara Brela kwanza wakishakupa Cheti, unakipeleka TRA ukiwa na nakala ya mkataba wa ulipopanga ofisi ya biashara yako na vitu vingine kadhaa wanavyovihitaji. Watakupatia TIN
Kisha unaambatanisha Copy ya TIN, Cheti Cha Usajili ( Brela ), Mkataba wa eneo la ofisi, Copy ya kitambulisho Nk. vyote hivi unaenda navyo kwa afisa biasha katika wilaya husika huyu ndiye atakayekupatia Leseni ya Biashara.
Nimejaribu kukumbuka kumbuka, ila uwe tayari na usumbufu wa kipuuzi kutoka kwa watumishi wa umma.
USITOE WALA KUPOKEA RUSHWA TAFADHARI.
Hapa umedanganya kidogo mkuu.... tin no. Unaweza ukawa nayo kwa harakat zingine tu.... sio lazima uwe na lesen ya businessTIN number hutolewa bure lakini hupewi mpaka wakukadirie kodi kulingana na biashara yako ilivyo then baada ya kulipa kodi ya awamu ya kwanza ndio wanakupa TIN number kuhusu leseni nenda manispaa ya kinondoni for more details au wadau watajazia.
mada kama hizi hazinaga wachangiaji kabisa, hili swali hata mie nilikuwa nalo lakini wajuzi wako bussy wanadiscuss ya tundu lissuNdugu zangu mimi tin number ninayo nataka kufanya biashara ya miamala ya simu kama tigo pesa na m pesa Naomba kwa aliewahi kukata leseni ya biashara ya miamala ya simu anijuze ngarana ya leseni kwa biashara husika
Hujaeleweka mkuuWakuu naomben kujuzwa kwa yule anayefaham namna ya kupata tii namba kwajili ya biashara . utalatibu ukoje,vigezo gan wanatumia nk
Ni TIN nambaWakuu naomben kujuzwa kwa yule anayefaham namna ya kupata tii namba kwajili ya biashara . utalatibu ukoje,vigezo gan wanatumia nk
NILIENDA TRA kuomba TIN wakaniambia masharti ni pamoja na kuwa na eneo la biasharaHio avatar yako inafurahisha mkuu..
Kuhusu leseni ya biashara na TiN, kwa mfumo wa biashara yako sidhani kama watakunyima, umejaribu kuomba?
Tumia mbinu za medani utaipata tu.NILIENDA TRA kuomba TIN wakaniambia masharti ni pamoja na kuwa na eneo la biashara
Medani ndo mbinu ipi mkuu?Tumia mbinu za medani utaipata tu.
Medani ndo mbinu ipi mkuu?