Tapeli huyu akamatwe.

FMuhomi

Member
Oct 16, 2011
61
24
Ilikuwa ni siku ya tarehe 12 Dec 2011 nikiwa Oil com Ubungo nikiwa namsubiri mgeni wangua akitokea mkoani,akaja jamaa mmoja mweusi hivi,wakati nawasha gari langu,akaniomba nimpe hela,eti gari yake imeisha mafuta na pia kadi yake ya ATM imenesa kwenya ATM na hana msaada,nikamwonea huruma hasa nikijua shida ya magari, pia nikamwomba namba yake ya simu ili tutafutane na aweze kuresha hiyo elfu kumi, na hapo alikuwa ana funguo za gari na akanionesha Suzuki nikamwamini,kwa utafiti wangu binafsi nimekuja kugundua huyu jamaa anaitwa LUSAJO MWAIPYANA.Huyu jamaa ukimpigia simu hapokei akipokea anajifanya yuko mbali sana shambani na kuwa mtawasiliana baadaye ilhali hapigi simu wala nini.Chukueni tahadhari na huyu jamaa..
 
lusajo mwaipyana.jpg

anaitwa lusajo mwaipyana

huyu jamaa aliwahi kutolewa kwenye jamvini humu kuwa alimtapeli mtu. Utapeli wake huufanya kwenye atm za crdb. Hujifanya kadi yake imezama na huvaa smat na akimfuata mtu humwambia kuwa anafanya jeshini jkt. Taarifa zake za kweye face book zinaonyesha kuwa aliwahi either kusoma ama kufanya kazi kyela sekondari. Pia ni mtu ambaye amewahi kuishi lilongwe malawi na morogoro.

Mimi alinitapeli tarehe 31-1-2014, ilikuwa siku ya ijumaa. Nilienda kutoa pesa kwenye atm ya crdb ubungo kituo cha mafuta cha oil com. Pale kuna atm-mashine mbili za crdb. Nikamkuta analalamika kuwa kadi yake imemezwa na kwamba alikuwa na gari limemuishia mafuta. Alikuwa kavaa kofia na mavazi smati na tai. Akaniomba nimuazime 20,000/= na kwamba atanirushia baadaye. Nilimuamini kibinadamu na kumpa 20,000/= lakini kabla nilimwambia anipe namba yake ambayo ni 0653 222 215 na nilimuuliza anafanya kazi wapi. Akasema kuwa anafanya kazi jeshini mwenge ni mwanajeshi.

Kilichotokea baadaye ukimpigia simu hapokei kabisa simu. Katika kugoogle kwenye internet nimekuta malalamiko pia jamii forum kuna mtu alishawahi kumtapeli kipindi cha nyuma na inaonekana kuwa ndio mchezo wake. Ni vyema taasisi husika zikafanya uchunguzi juu ya tapeli huyu. Aidha, hii ni tahadhari kwa waamember wengine.

taarifa zake kweny e facebook
kawahi kuishi malawi lilongwe na morogoro
kasoma/kafanya kazi kyela sekondary
 
Mkuu ubinadamu wako ulikuponza!
But akimtokea mtu mwengine, na aongozane nae hadi ndani tu! Ukiwa na dharura mbona kadi yako inatolewa mda huo huo!
Nakumbuka ya kwangu ilimezwa posta pale (Dar) nilichofanya, niliingia ndani na kuwaonesha tiket! Mbona walinitolea hapo hapo!
 
mkuu ubinadamu wako ulikuponza!
But akimtokea mtu mwengine, na aongozane nae hadi ndani tu! Ukiwa na dharura mbona kadi yako inatolewa mda huo huo!
Nakumbuka ya kwangu ilimezwa posta pale (dar) nilichofanya, niliingia ndani na kuwaonesha tiket! Mbona walinitolea hapo hapo!

ni kweli ila hii ni tahadhari kwa watu wengine
 
View attachment 139269

anaitwa lusajo mwaipyana

huyu jamaa aliwahi kutolewa kwenye jamvini humu kuwa alimtapeli mtu. Utapeli wake huufanya kwenye atm za crdb. Hujifanya kadi yake imezama na huvaa smat na akimfuata mtu humwambia kuwa anafanya jeshini jkt. Taarifa zake za kweye face book zinaonyesha kuwa aliwahi either kusoma ama kufanya kazi kyela sekondari. Pia ni mtu ambaye amewahi kuishi lilongwe malawi na morogoro.

Mimi alinitapeli tarehe 31-1-2014, ilikuwa siku ya ijumaa. Nilienda kutoa pesa kwenye atm ya crdb ubungo kituo cha mafuta cha oil com. Pale kuna atm-mashine mbili za crdb. Nikamkuta analalamika kuwa kadi yake imemezwa na kwamba alikuwa na gari limemuishia mafuta. Alikuwa kavaa kofia na mavazi smati na tai. Akaniomba nimuazime 20,000/= na kwamba atanirushia baadaye. Nilimuamini kibinadamu na kumpa 20,000/= lakini kabla nilimwambia anipe namba yake ambayo ni 0653 222 215 na nilimuuliza anafanya kazi wapi. Akasema kuwa anafanya kazi jeshini mwenge ni mwanajeshi.

Kilichotokea baadaye ukimpigia simu hapokei kabisa simu. Katika kugoogle kwenye internet nimekuta malalamiko pia jamii forum kuna mtu alishawahi kumtapeli kipindi cha nyuma na inaonekana kuwa ndio mchezo wake. Ni vyema taasisi husika zikafanya uchunguzi juu ya tapeli huyu. Aidha, hii ni tahadhari kwa waamember wengine.

taarifa zake kweny e facebook
kawahi kuishi malawi lilongwe na morogoro
kasoma/kafanya kazi kyela sekondary



Mkuu huoni aibu kuelezea mazingira ya kutapeliwa kizembe namna hiyo?
Ukutane na mtu ATM humjui hakujui akwambie umkopeshe hela kwa dhamana ya namba ya simu, halafu useme eti kakuibia?
 
Mkuu huoni aibu kuelezea mazingira ya kutapeliwa kizembe namna hiyo?
Ukutane na mtu ATM humjui hakujui akwambie umkopeshe hela kwa dhamana ya namba ya simu, halafu useme eti kakuibia?

MKUU usimlaum ubinadam kazi aisee .machoni kama watu
 
Mkuu huoni aibu kuelezea mazingira ya kutapeliwa kizembe namna hiyo?
Ukutane na mtu ATM humjui hakujui akwambie umkopeshe hela kwa dhamana ya namba ya simu, halafu useme eti kakuibia?

Its a lesson to ignore strangers!! Mtu analalamika. Kumezwa kadi wakati, kama kumbukumbu zangu ziko sawa huwa kuna namba ya simu ktk hizo atm,is apige tu simu?!!!

Pole mkuu, as I said earlier take it as. Aa lesson...

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Mkuu ni bora ungesema ulinpa tu kwa Sababu 20, 000 is nothing.
Kwa hiyi angekwambia umpe 200, 0000 ungempa ?
 
Yaaani kabisa we ukutane na mtu humjui anakuomba umkope 20,000 na wewe unatoa? Labda kama ulitoa msaada sio mkopo maana sioni utapeli wake huyu jamaa bali ni "ombaomba" tu....
 
Labda kwa kuongezea tu...kusingizia shida,matatizo ya kibinadam na kutoa ahadi kurejesha,hiyo ni style ya utapeli kwa wabongo walio wengi.
So take care.
 
Yaaani kabisa we ukutane na mtu humjui anakuomba umkope 20,000 na wewe unatoa? Labda kama ulitoa msaada sio mkopo maana sioni utapeli wake huyu jamaa bali ni "ombaomba" tu....

Ni kweli kama kazini kwake ni mwenge alikuwa anahitaji elfu 2 tu ya lita moja kumfikisha,zaidi ungezidisha ilipaswa kuwa elfu 5.

Ila usijali kwa Mungu umepanda,utavuna tu kwa zaidi ya hiyo uliyotoa.
 
Mkuu ubinadamu wako ulikuponza!
But akimtokea mtu mwengine, na aongozane nae hadi ndani tu! Ukiwa na dharura mbona kadi yako inatolewa mda huo huo!
Nakumbuka ya kwangu ilimezwa posta pale (Dar) nilichofanya, niliingia ndani na kuwaonesha tiket! Mbona walinitolea hapo hapo!

Hiyo inawezekana endapo ni atm za kwenye branch lenyewe, ila kama za mtaani hadi waje wenyewe kuweka hela
 
View attachment 139269

anaitwa lusajo mwaipyana

huyu jamaa aliwahi kutolewa kwenye jamvini humu kuwa alimtapeli mtu. Utapeli wake huufanya kwenye atm za crdb. Hujifanya kadi yake imezama na huvaa smat na akimfuata mtu humwambia kuwa anafanya jeshini jkt. Taarifa zake za kweye face book zinaonyesha kuwa aliwahi either kusoma ama kufanya kazi kyela sekondari. Pia ni mtu ambaye amewahi kuishi lilongwe malawi na morogoro.

Mimi alinitapeli tarehe 31-1-2014, ilikuwa siku ya ijumaa. Nilienda kutoa pesa kwenye atm ya crdb ubungo kituo cha mafuta cha oil com. Pale kuna atm-mashine mbili za crdb. Nikamkuta analalamika kuwa kadi yake imemezwa na kwamba alikuwa na gari limemuishia mafuta. Alikuwa kavaa kofia na mavazi smati na tai. Akaniomba nimuazime 20,000/= na kwamba atanirushia baadaye. Nilimuamini kibinadamu na kumpa 20,000/= lakini kabla nilimwambia anipe namba yake ambayo ni 0653 222 215 na nilimuuliza anafanya kazi wapi. Akasema kuwa anafanya kazi jeshini mwenge ni mwanajeshi.

Kilichotokea baadaye ukimpigia simu hapokei kabisa simu. Katika kugoogle kwenye internet nimekuta malalamiko pia jamii forum kuna mtu alishawahi kumtapeli kipindi cha nyuma na inaonekana kuwa ndio mchezo wake. Ni vyema taasisi husika zikafanya uchunguzi juu ya tapeli huyu. Aidha, hii ni tahadhari kwa waamember wengine.

taarifa zake kweny e facebook
kawahi kuishi malawi lilongwe na morogoro
kasoma/kafanya kazi kyela sekondary

mkuu huu ubinadamu ndio unatu-cost hadi leo kwenye mambo ya msingi, tunapodanganywa kidogo tu ka kupewa ubwabwa na nyama pori, viwembe, opener za soda/bia (Pasipo soda/Bia), fulana, kofia, kanga etc basi tunawaamini wanaotugaia hvy vitu tukiamini ndo maisha bora!....

Tubadilike watanzania dunia hii siyo ya kumwamin mtu kwa vitu vidogo tu lts be extra wadadisi!!!
 
Mtu huyu huyu....alishaibia watu wawili tunaofahamiana....ilikua ATM za CRDB Mlimani.
Anafanya hii kitu jioni wakati benki zimefungwa....anatumia mazingira ya ubinadamu wetu kuiba.......anavizia umetoka kuchukua hela....
Kabla hujaingia anakua amesimama karibu na ATM akiwa very uneasy.....na anajifanya msamaria mwema kukutahadharisha kwamba usitumia ATM hii inameza kadi.....
Ukifanikiwa kutoa hela anakupa stori za gari kuishiwa mafuta......na kwamba anaenda Kibaha or something...
Share this, labda atakatika!!

Yaaani kabisa we ukutane na mtu humjui anakuomba umkope 20,000 na wewe unatoa? Labda kama ulitoa msaada sio mkopo maana sioni utapeli wake huyu jamaa bali ni "ombaomba" tu....
 
Ila wahusika wenyewe ndo wamejitapeli hapo:
unawezaje kutapeliwa kirahisi namna hii!
 
Back
Top Bottom