gstar
JF-Expert Member
- Jun 19, 2011
- 814
- 1,490
Hata mtukane mpaka mjipake usoni matusi bado Ustadh Ilunga ni shujaa kwa kusema ukweli dhidi ya udhalim.najua mnamchukia kwa ukweli wake lakini wanasema ni bora mchungu mkweli kuliko uongo wenye kuangamiza.na kila nafsi itaonja umauti.ni upumbavu na kukosa maarifa kwa matusi mnayoyatoa kwani hayasikii walaa kuyaona tena na kila mmoja wetu atakufa hakuna cha padri wala shetani woote tutakufa hakuna wa kupiga magoti wala wakupiga kwaya atakae bakia woote tutakufa sijui cha ajabu ni kipi.yeye kishamaliza muda wake kazi kwako na kama ukitaka kujua uliza alizikwa na kina nani??? Na hao waliomzika ndio wafuasi wake sasa wewe piga hesabu zako za kuishi lakini hujui utakufaje na utazikwaje think twice
Dini ya kishetani imekufanya kuwa na mawazo mgando, huyu jamaa alikuwa anahamasisha watu kuuwa sasa yeye kama kuona kuuwa mtu ni ufahari mbona yeye hakuishi milele. Waislam mtambue thamani ya uhai wa mwanadamu na kwamba ukichezewa lazima Mungu akuadabishe