Tanzia: Ustadh Ilunga afariki dunia

Tanzia: Ustadh Ilunga afariki dunia

Status
Not open for further replies.
Haya ndii matatizo ya kukaa kwenye vikao vya shehena jongo!
We inaonekana ililia sana wakati nyerere kafa!

Lahaula walaquwata!

illa billah,huyo mshkaji anajipendekeza kwa wagalatia kama vile wanamlipa...ndo haohao akina jngo...
 
Acha kujipendekeza kwa makafiri, hapa Uislam unatukanwa kama wewe Muislam umefanya nini zaidi ya kumponda Ilunga, Mtume wako anatukanwa wala hauoni tatizo, nyie ndiyo ni Jongo mnaomlilia Nyerere.
Sina cha kujipendekeza kwao kwavile hawana cha kunipa lakini haitatokea hata siku moja ktk maisha yangu nikatetea watu kama Sheikh Ilunga, Al Shabab, Boko Haram na wengine kama hao! Kama adhabu yangu itakuwa ni kutupwa motoni, am ready to take the chance kuliko kutetea ujinga!!

Kwamba Uislamu unatukanwa mimi nafanya nini; labda nikuulize ulitarajia nifanye nini... kwahiyo ulitaka nami nifunge kibwebwe nianze kutukana Ukristo ili kuwaaminishia nyinyi kwamba nami ni Mwislamu safi... unafiki si ada yangu! Humu jamvini si mara moja wala mara mbili, nimeshapata hadi kuhitilafiana na watu wanaokashifu Uislamu, lakini naangalia mazingira! Haiwezekani mimi niwatetee wauaji kwa jina la Uislamu kisha mtu autukane Uislamu halafu mimi nije juu... na ndio maana hata kwenye Koran imesemwa wazi, usiwatukanie dini yao wasije wakaitukana dini yako. Lakini yote kwa yote, wakati unaamini kwamba najipendeza kwa hao unaowaita makafiri, jaribu kwanza kuisoma Signature yangu ndipo utabaini NasDaz ni mtu wa aina gani!
 
kahtaan huwa nakushangaa, unaposema habari za kubaka watoto kwa maana nyingine unakuwa unamdharirisha mtume wetu sisi, hao wananabaka ni kwa utashi wao wala hawajaambiwa. Ebu soma hapa uone mtume wetu alimfanya nini mtoto muslim (8:3309) , bukhari 58:234.

Lakini pia soma hapa uone alimfanya nini mke wa mwanae wa kulea sura 33:37

kuhusu pombe, hapa pia mtume wetu anawaagiza watu wanywe pombe (surah 4:43)

kuhusu kubaka watoto. Soma hizi link mashekhe wamefanya nini au kwa kuwa hawatangazwi? Soma hii
LOOK UNDER THE BURKA OF ISLAM: IMAM ARRESTED FOR DRUGGING AND RAPING TEN YEAR OLD GIRL (AFGHANISTAN)
Saudi imam rapes, tortures 5-yr-old daughter because he 'doubted her virginity' - Wilmington Conservative | Examiner.com
Imam rapes 12-year-old, tries to intimidate girl | Siasat

wewe kahtaan njoo huku umpiganie mtume wako anaaibishwa ile mbaya!
 
Pole mfiwa.. tumeondokewa na mtu makini hasa katika vita hii ya mfumo kristo.. kwanini Nyerere aitwe baba wa taifa lakini wazee wetu wa gerezani hawaitwi baba wa taifa..!

Huu uanaharakati huu ndio unaotufanya waislam sometime tudharauliwe na hata wasiokuwa Waislam, tunapenda kuleta madai hata katika vitu visivyokuwa na mantiki kijamii na hata kwa uislamu wetu pia, sababu hakuna ulazima wa hao wazee kuitwa baba wa Taifa, maana hata waislamu wote wakiitwa mababa wa Taifa achilia mbali hao wazee wa gerezani peke yao, hakuna faida yoyote kwa muislamu mmoja mmoja wala kwa ujumla wake! Bali hii ni misimamo mibovu iliyojengwa na hawa masheikh wanaharakati ktk kuwashajiisha watu ktk uwingi (tajmi'i) bila kuwajenga kiimani kwanza (kuwasomesha watu dini wakajua AQIDA SAHIHI YA DINI YAO KWANZA). Ndio madhara yake tunaleta madai yasiokuwa na msingi wowote wa kujikwamua badala yake tunazidi kuwapa njia na mbinu maadui zetu na kuzidi kutukalia sisi tukiendelea kulalamika bila ya mtu wa kutusikiliza wala kujua namna ya kujikomboa! Mara ooo mfumo kristo! Ooo tunaonewa! Na ngonjera nyingi nyinginezo!! tulishajiuliza hiyo ndio njia sahihi ya kuondoa hicho tunachokidai kwa mujibu wa uislamu wetu? Je, uislamu unafundisha kuwatukana viongozi wa serikali? Kuwaua au kuwamwagia tindikali viongozi wa dini nyinginezo mbali na uislamu? Maandamano je? Ila haya yote si mambo ya ajabu kutokea ktk nyakati zetu hizi, si ajabu pia mambo haya kuhusishwa na uislamu ingawa kiuhalisia si mafundisho ya uislamu bali ni matokeo ya matendo ya baadhi ya waislamu wachache wenye misimamo mikali ambayo haina asili ktk dini halisi ya uislamu! Allah amrehemu Sheikh Ilunga, amsamehe pia makosa yake!
 
F
Wewe ndo utoe hiyo aya ya Kuran inayosema akiuawa Mwislamu mmoja, wauawe mapadri wanne.... narudia, weka hiyo aya hapa... hata kama haisemi moja kwa moja hivyo, basi angalau inayofanana fanana manake, kwa mujibu wa Uislamu, ingawaje adhabu ya muuaji ni kuaawa, bado kuna taratibu zake za kufuata! Sasa Ilunga anaposema ua mapadri wanne ametumia taratibu zipi?

Sasa hapa kuna dola ya kiislamu??

Kisasi ni haki

Haya ilunga alikosea wewe useme sasa akiuliwa muislam bila sababu yyte au kiumbe tu chochote cha mungu hukmu yake huwa vip??

Unaongea km unataka kutaga ..??!
 
Sina cha kujipendekeza kwao kwavile hawana cha kunipa lakini haitatokea hata siku moja ktk maisha yangu nikatetea watu kama Sheikh Ilunga, Al Shabab, Boko Haram na wengine kama hao! Kama adhabu yangu itakuwa ni kutupwa motoni, am ready to take the chance kuliko kutetea ujinga!!

Kwamba Uislamu unatukanwa mimi nafanya nini; labda nikuulize ulitarajia nifanye nini... kwahiyo ulitaka nami nifunge kibwebwe nianze kutukana Ukristo ili kuwaaminishia nyinyi kwamba nami ni Mwislamu safi... unafiki si ada yangu! Humu jamvini si mara moja wala mara mbili, nimeshapata hadi kuhitilafiana na watu wanaokashifu Uislamu, lakini naangalia mazingira! Haiwezekani mimi niwatetee wauaji kwa jina la Uislamu kisha mtu autukane Uislamu halafu mimi nije juu... na ndio maana hata kwenye Koran imesemwa wazi, usiwatukanie dini yao wasije wakaitukana dini yako. Lakini yote kwa yote, wakati unaamini kwamba najipendeza kwa hao unaowaita makafiri, jaribu kwanza kuisoma Signature yangu ndipo utabaini NasDaz ni mtu wa aina gani!

Wewe ni mfano wa wale wanaoitwa "AD DAYYUS"!

Sasa mimi sitaki kuwapa faida MAKAFIRI! we katafute maana ya Dayus utafahamu nina maana gani!

Nakuskitikia sana! Angalia tu ndugu yangu usunyweshwa yale madamu ya kakobe! Hao wagalatia wachawi sana!
 
Haya ndii matatizo ya kukaa kwenye vikao vya shehena jongo!
We inaonekana ililia sana wakati nyerere kafa! Lahaula walaquwata!
Yashakuwa ya Nyerere tena?! IKiwa unataka kufahamu maoni yangu kuhusu Nyerere, humu jamvini nilishapata kuongea... simkubali Nyerere lakini simkubali si kwa sababu ya Ukristo wake bali kutokana na vile ambavyo alitawala... kimsingi, nilizungumzia utawala wa Nyerere ambae nilimweka kwenye kundi la viongozi wabovu kabisa kupata kutokea hapa Tanzania huku nikimweka mizani moja na Ally Hassan Mwinyi; Mwislamu mwenzangu!!!
 
Allah ailaze mahali Pema peponi roho ya marhum sheikh ILUNGA.amejitahidi katika yale ambayo amejitahidi kuyafanya.Mola amzidishie palipopungua.
 
Sina cha kujipendekeza kwao kwavile hawana cha kunipa lakini haitatokea hata siku moja ktk maisha yangu nikatetea watu kama Sheikh Ilunga, Al Shabab, Boko Haram na wengine kama hao! Kama adhabu yangu itakuwa ni kutupwa motoni, am ready to take the chance kuliko kutetea ujinga!!

Kwamba Uislamu unatukanwa mimi nafanya nini; labda nikuulize ulitarajia nifanye nini... kwahiyo ulitaka nami nifunge kibwebwe nianze kutukana Ukristo ili kuwaaminishia nyinyi kwamba nami ni Mwislamu safi... unafiki si ada yangu! Humu jamvini si mara moja wala mara mbili, nimeshapata hadi kuhitilafiana na watu wanaokashifu Uislamu, lakini naangalia mazingira! Haiwezekani mimi niwatetee wauaji kwa jina la Uislamu kisha mtu autukane Uislamu halafu mimi nije juu... na ndio maana hata kwenye Koran imesemwa wazi, usiwatukanie dini yao wasije wakaitukana dini yako. Lakini yote kwa yote, wakati unaamini kwamba najipendeza kwa hao unaowaita makafiri, jaribu kwanza kuisoma Signature yangu ndipo utabaini NasDaz ni mtu wa aina gani!

waislamu wote wangekuwa sawa na wewe nchi hii ingekuwa mbali kiuchumi, kijeshi, kijamii na kisiasa, lakini kwa vile mashehe wapenda ubwabwa na wali wa maulidi ni wengi ndiyo maana tumefikia hapa tulipo!
 
Yashakuwa ya Nyerere tena?! IKiwa unataka kufahamu maoni yangu kuhusu Nyerere, humu jamvini nilishapata kuongea... simkubali Nyerere lakini simkubali si kwa sababu ya Ukristo wake bali kutokana na vile ambavyo alitawala... kimsingi, nilizungumzia utawala wa Nyerere ambae nilimweka kwenye kundi la viongozi wabovu kabisa kupata kutokea hapa Tanzania huku nikimweka mizani moja na Ally Hassan Mwinyi; Mwislamu mwenzangu!!!

kahtaan sijui kama ataweza kukuelewa kumchanganya maalim Mwinyi na Kafiri nyerere(aliyempatia uhuru) kwenye chungu kimoja!
 
Sina cha kujipendekeza kwao kwavile hawana cha kunipa lakini haitatokea hata siku moja ktk maisha yangu nikatetea watu kama Sheikh Ilunga, Al Shabab, Boko Haram na wengine kama hao! Kama adhabu yangu itakuwa ni kutupwa motoni, am ready to take the chance kuliko kutetea ujinga!!

Kwamba Uislamu unatukanwa mimi nafanya nini; labda nikuulize ulitarajia nifanye nini... kwahiyo ulitaka nami nifunge kibwebwe nianze kutukana Ukristo ili kuwaaminishia nyinyi kwamba nami ni Mwislamu safi... unafiki si ada yangu! Humu jamvini si mara moja wala mara mbili, nimeshapata hadi kuhitilafiana na watu wanaokashifu Uislamu, lakini naangalia mazingira! Haiwezekani mimi niwatetee wauaji kwa jina la Uislamu kisha mtu autukane Uislamu halafu mimi nije juu... na ndio maana hata kwenye Koran imesemwa wazi, usiwatukanie dini yao wasije wakaitukana dini yako. Lakini yote kwa yote, wakati unaamini kwamba najipendeza kwa hao unaowaita makafiri, jaribu kwanza kuisoma Signature yangu ndipo utabaini NasDaz ni mtu wa aina gani!

Unatumia kigezo gan kusema ilunga na boko haram wanafanana??
 
Wewe ni mfano wa wale wanaoitwa "AD DAYYUS"!

Sasa mimi sitaki kuwapa faida MAKAFIRI! we katafute maana ya Dayus utafahamu nina maana gani!

Nakuskitikia sana! Angalia tu ndugu yangu usunyweshwa yale madamu ya kakobe! Hao wagalatia wachawi sana!
Wala usisumbuke kunihifadhi... we sema tu ili kila mmoja afahamu kwa maana mwenye kutoa hukumu ya haki kuhusu NasDaz ni mtu wa namna gani ni Mungu peke yake. Narudia, ni Mungu peke yake kv yeye ndie anaefahamu matendo ya nafsi yangu!! Naweza kusimama hapa na kumtetea kwa nguvu zote Sheikh ILunga huku nikitaka nionekane napigani dini kwelikweli... lakini siku ya siku ni Mungu peke yake atakayefahamu ikiwa ninachokipigani ndicho true reflection of my heart!
 
Wewe ni mfano wa wale wanaoitwa "AD DAYYUS"!

Sasa mimi sitaki kuwapa faida MAKAFIRI! we katafute maana ya Dayus utafahamu nina maana gani!

Nakuskitikia sana! Angalia tu ndugu yangu usunyweshwa yale madamu ya kakobe! Hao wagalatia wachawi sana!

Hhahahaha, Kahtan umeanza kukomaa na mwislam mwenzio NasDaz, Nazdaz kaona mbali, yeye hakuna kuunga mkono UGAIDI kama wewe.
 
kahtaan sijui kama ataweza kukuelewa kumchanganya maalim Mwinyi na Kafiri nyerere(aliyempatia uhuru) kwenye chungu kimoja!

Na aliyekwambia yule aliyelaaniwa Nyerere ndio kaniletea uhuru ni nani?
We unahabari wazee wetu wa kiisalmu ndio waliomfundisha huyo nyerere kuvaa suruali!?

Nyerere angekuwa kaniletea mimi uhuru basi ningehama nchi nikajiunge na ndugu zangu boko haram!
 
Sina cha kujipendekeza kwao kwavile hawana cha kunipa lakini haitatokea hata siku moja ktk maisha yangu nikatetea watu kama Sheikh Ilunga, Al Shabab, Boko Haram na wengine kama hao! Kama adhabu yangu itakuwa ni kutupwa motoni, am ready to take the chance kuliko kutetea ujinga!!

Kwamba Uislamu unatukanwa mimi nafanya nini; labda nikuulize ulitarajia nifanye nini... kwahiyo ulitaka nami nifunge kibwebwe nianze kutukana Ukristo ili kuwaaminishia nyinyi kwamba nami ni Mwislamu safi... unafiki si ada yangu! Humu jamvini si mara moja wala mara mbili, nimeshapata hadi kuhitilafiana na watu wanaokashifu Uislamu, lakini naangalia mazingira! Haiwezekani mimi niwatetee wauaji kwa jina la Uislamu kisha mtu autukane Uislamu halafu mimi nije juu... na ndio maana hata kwenye Koran imesemwa wazi, usiwatukanie dini yao wasije wakaitukana dini yako. Lakini yote kwa yote, wakati unaamini kwamba najipendeza kwa hao unaowaita makafiri, jaribu kwanza kuisoma Signature yangu ndipo utabaini NasDaz ni mtu wa aina gani![/QUOTE
Dayus.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom