wewe ni kafiri Kama kafiri mwenzako alien mlilia nyerinyeri bungeni. unajipendekeza kwa makufaar ili wakuone mwema, ALLAH akuonyeshe hakika na akuwezeshe kuifuata la sivyo una mafikio mabaya akhera.
ALLAH Subhana wataala anasema "HAWATOKUWA RADHI MAKAFIRI NA MANASWARA MPAKA TUFUATE MILA ZAO"
Ukiona makafiri wanakupenda, jichunguze vizuri mwenendo wako Kama haujaiacha haqqi aliyo ishusha ALLAH subhana wa subhana
Anione mwema nani...? Mie humu jamvini ni mtu mwenye mawazo huru... hata hao Wakristo nabishana nao sana humu lakini ni kwa mambo ya msingi kwa dini na sio upuuzi kama wa kumtetea Sheikh Ilunga.
Asante Jehova kwa kuwa wewe ndiye Mungu wangu. Asante kwa kuniumba. Ningeumbwa na Allah bila shaka na mimi ningekuwa sawa na kina anti Moody, anti Ally na wale maanti wengi wanaojianika Lango la Jiji na Travatain
To those claiming Joseph was a 90 year old 'craddle-robber' who married a 12/14 Year old Teenage Mary, kindly see how "intelligent, full of logic, and incredible reasoning" you truly are.
If Joseph was 90 and Mary was 12, then Joseph would be something 92 years when Jesus was born, right?
Now, Its a known fact that King Herod was after the new born baby for which reason he (Jesus) was taken to Egypt. In essence, a 92/93 year old Joseph was cris-crossing the middle east, running for dear life with a teenage bride and an infant? Let's agree that was Adrenaline in action. I'll still take that with a pinch of salt.
Now, when Jesus clocked 12, he was taken to the temple for dedication. Joseph, Mary and Jesus traveled from Nazareth to Jerusalem for this purpose; we're talking several kilometers here.
By this time, Joseph would have been at least 104/105 years old. So are your sources trying to suggest with the foregoing logic that; a 104 Joseph trekked all the way to Jerusalem for the dedication of his 12 year old Jesus?
Furthermore, Joseph mentored Jesus to become a carpenter. At what age did this mentoring start?
Let's assume it was even when Jesus was 12 years old. That would mean a 104/105 year old man mentored teenage Jesus for several years before Jesus started his ministry at age 30, at which time Joseph would have been 142 years old at least.
Afadhali umejua kuwa wewe ni kafiri kwa kushindwa kuitetea dini yako,haya ww eleza aya ya qur an inayosema kafiri akikuzuieni kumuabudu mola wako umchekelee.
Anione mwema nani...? Mie humu jamvini ni mtu mwenye mawazo huru... hata hao Wakristo nabishana nao sana humu lakini ni kwa mambo ya msingi kwa dini na sio upuuzi kama wa kumtetea Sheikh Ilunga.
Ni faraja kwa makafiri waliokuwa wanamuogopa! Lkn kwa waungwana ni msiba mkubwa.
Na hakuna kitu mtampunguzia kwa majungu yenu!
Yule alikuwa simba! Kaondoka ndio tunaona mijusi wanatoka mashimoni na kuropoka ovyo!
Wakati wa uhai wake thubbutu!
mgekamuliwa kinyesi wote nyie!
Lkn tupe muda kidogo tu! Atatokea mwingine mara 10 ya Sheikh lipunga!
God willing!
To those claiming Joseph was a 90 year old 'craddle-robber' who married a 12/14 Year old Teenage Mary, kindly see how "intelligent, full of logic, and incredible reasoning" you truly are.
If Joseph was 90 and Mary was 12, then Joseph would be something 92 years when Jesus was born, right?
Now, Its a known fact that King Herod was after the new born baby for which reason he (Jesus) was taken to Egypt. In essence, a 92/93 year old Joseph was cris-crossing the middle east, running for dear life with a teenage bride and an infant? Let's agree that was Adrenaline in action. I'll still take that with a pinch of salt.
Now, when Jesus clocked 12, he was taken to the temple for dedication. Joseph, Mary and Jesus traveled from Nazareth to Jerusalem for this purpose; we're talking several kilometers here.
By this time, Joseph would have been at least 104/105 years old. So are your sources trying to suggest with the foregoing logic that; a 104 Joseph trekked all the way to Jerusalem for the dedication of his 12 year old Jesus?
Furthermore, Joseph mentored Jesus to become a carpenter. At what age did this mentoring start?
Let's assume it was even when Jesus was 12 years old. That would mean a 104/105 year old man mentored teenage Jesus for several years before Jesus started his ministry at age 30, at which time Joseph would have been 142 years old at least.
[h=3]Wananchi wa Waumini wa Dini ya Kiislam Wakijumuika katika Mazishi ya Shekh Ilunga.Hassan Dar.[/h]
Maalim Seif akishiriki katika mazishi ya Sheikh wa Ilunga Shekh.Hassan Kapungu yaliofanyika katika makaburi ya Mwinyimkuu Magomeni Dar es Salaam. akijumuika na Wanancjiji Dar-es-Salaam.
Wananchi wakishiriki katika mazishi ya Shekh Ilunga Hasaan Kapungu katika makaburi ya Magomeni Mwinyimkuu jijini Dar-es-Salaam.
Wananchi wakishiriki katika mazishi ya Shekh Ilunga Hasaan Kapungu katika makaburi ya Magomeni Mwinyimkuu jijini Dar-es-Salaam. (Picha na Salmin Said OMKR)
Na; Hassan Hamad (OMKR).
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, amewaongoza maelfu ya waislamu katika mazishi ya sheikh maarufu wa Mkoa wa Mwanza na mwanaharakati wa dini ya Kiislamu marehemu sheikh Ilunga Hassan Kapungu.
Sheikh Ilunga amefariki dunia mjini Dar es Salaam na kuzikwa katika makaburi ya Mwinyimkuu Magomeni.
Katika uhai wake sheikh Ilunga Kapungu alikuwa mwanaharakati ambaye mara nyingi alikuwa akiendesha mihadhara ya wazi ya dini ya Kiislamu, ambapo mwishoni mwa mwaka 2013 alikamatwa kwa tuhuma za uchochezi mkoani Tabora na baadaye kuachiwa huru.
Kwa mujibu wa taarifa za kimtandao, kabla ya kukamatwa kwake na kuachiwa huru Disemba mwaka 2013, marehemu sheikh Ilunga alikwenda nchini India kwa matibabu baada ya kusumbuliwa na matatizo ya figo pamoja na sukari.
Akizungumza katika mazishi hayo sheikh Basaleh wa Dar es Salaam, amesema marehemu sheikh Ilunga alikuwa mwanaharakati imara na ni mfano mzuri wa kuigwa katika harakati za dini ya Kiislamu.
Mazishi yake yameweka historia baada ya maelfu ya waislamu kujitokeza kushiriki kwao, hali iliyopelekea mchanga wa kaburi lake kufukiwa kwa mikono badala ya kutumia mapauro na majembe kama ilivyozoeleka.
Masheikh kutoka Mikoa mbali mbali ya Tanzania wameshiriki mazishi hayo akiwemo sheikh Kishki.
Hahaaa acha kutapatapa, athari aliyo iacha al marhum Sheikh ilunga ni kwa vizazi na vizazi.
kwa hakika amezalisha wanaharakati wengene wengi kwa maelfu.
we Endelea kushangilia kifo chake, subiria athari yake utaiona.
Na ukiona mtu anawaunga mkono watu kama Boko Haram au Al Shabab kwa kigezo cha dini, basi mtu anapaswa kuchunguzwa... binafsi siku nikisikia Boko Haram na Al Shabab wamesambaratishwa, ni siku ambayo nitafanya sherehe!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.