Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,579
- 161,430
apumzike kwa amani kivipi?kwani alikuwa amempokea Yesu kama bwana na mkombozi wa maisha yake??hapo hamna kupumzika kwa amani tena nahisi shetani anaweza kumrudisha duniani kama pepo mchafu
Nasikia na yule mtaalam wa nyota kageuzwa kuwa pepo mchafu, anasumbua sana wakazi wa Magomeni Mwembechai