Tanzia: Ustadh Ilunga afariki dunia

Tanzia: Ustadh Ilunga afariki dunia

Status
Not open for further replies.
apumzike kwa amani kivipi?kwani alikuwa amempokea Yesu kama bwana na mkombozi wa maisha yake??hapo hamna kupumzika kwa amani tena nahisi shetani anaweza kumrudisha duniani kama pepo mchafu

Nasikia na yule mtaalam wa nyota kageuzwa kuwa pepo mchafu, anasumbua sana wakazi wa Magomeni Mwembechai
 
Hata kama Maiti hasemwi kwa mabaya wala sina la kumsifia mtu kama Sheikh Ilunga hata kama nami ni mwislamu. Ni Sheikh gani unahamasiha watu wachinje mapadri na maaskofu huku ukitumia maandiko ya Kuran kwa kupotosha?!!! Ni heri nionekane kafiri kuliko kumtetea sheikh anaeshadidia mauaji yasiyo na kichwa wala miguu.

Watu kama Ilunga ndiyo wanaosababisha watu waamini kwamba yanayofanywa na bokoharam, alishabab nk ni mafundisho ya Kiislam.
 
Hata kama Maiti hasemwi kwa mabaya wala sina la kumsifia mtu kama Sheikh Ilunga hata kama nami ni mwislamu. Ni Sheikh gani unahamasiha watu wachinje mapadri na maaskofu huku ukitumia maandiko ya Kuran kwa kupotosha?!!! Ni heri nionekane kafiri kuliko kumtetea sheikh anaeshadidia mauaji yasiyo na kichwa wala miguu.
Afadhali umejua kuwa wewe ni kafiri kwa kushindwa kuitetea dini yako,haya ww eleza aya ya qur an inayosema kafiri akikuzuieni kumuabudu mola wako umchekelee.
 
Naona mmeamua kubadili mada aina shida twendeni mnavyotaka.

Unajua mama yake Yesu alivyoolewa alikuwa na umri gani.

Alikuwa na umri wa miaka 12 na mumewe joseph alikuwa na umri wa miaka 90!

Na wakati huohuo ALIKUWA NA MIMBA KUBWA SANA!

Kwa sheria zetu za sasa joseph angekuwa jela zamaani anachezea mikojo keko!
 
Nasikia na yule mtaalam wa nyota kageuzwa kuwa pepo mchafu, anasumbua sana wakazi wa Magomeni Mwembechai

hao ndio huwa wanarudi na kuwa popo bawa,tufunge na kuomba na kuvunja hizo nguvu za shetani zishindwe katika jina la Yesu
 
Hata kama Maiti hasemwi kwa mabaya wala sina la kumsifia mtu kama Sheikh Ilunga hata kama nami ni mwislamu. Ni Sheikh gani unahamasiha watu wachinje mapadri na maaskofu huku ukitumia maandiko ya Kuran kwa kupotosha?!!! Ni heri nionekane kafiri kuliko kumtetea sheikh anaeshadidia mauaji yasiyo na kichwa wala miguu.
sawa na ukafiri ulionao endelea nao
 
Atakuwa pamoja na yesu aliyejitoa muhanga akafa kifo cha laana msalabani.

Na yeyote mwenye kulaaniwa lzm aingie jahannam. Kama alivyolaaniwa yesu kufa msalabani.

Soma hii aya itakusaidia kumuheshimu Yesu Quran 3:49-51
Quran 3:49-51
 
Angalia na huyu nae,
Sasa mtu kusema r.i.p lzm awe muislamu!?
Matoto ya zinaa akili.zao always zinanuka!

ebu wewe left overs wa mafisadi eleza maana ya matoto ya zinaa,hivi kuna mtu aliyewai kutenda zinaa mbaya na vitoto under age kama huyo mtume wenu???shame on you kumwamini mzinifu aliyefanya mapenzi na watoto wadogo,akili zako kama zake tu
 
Alikuwa na umri wa miaka 12 na mumewe joseph alikuwa na umri wa miaka 90!

Na wakati huohuo ALIKUWA NA MIMBA KUBWA SANA!

Kwa sheria zetu za sasa joseph angekuwa jela zamaani anachezea mikojo keko!

Kahtaan ukinipa hivi vifungu kwenye Bible mimi nasilimu sasa hivi, bora na mimi niwe muabudu na majini. Lete hiyo
 
Alikuwa na umri wa miaka 12 na mumewe joseph alikuwa na umri wa miaka 90!

Na wakati huohuo ALIKUWA NA MIMBA KUBWA SANA!

Kwa sheria zetu za sasa joseph angekuwa jela zamaani anachezea mikojo keko!
Unajua hawa tukikaa kimya wanatuona sisi wajinga sasa twende nao wanavyotaka nimetoa angalizo mapema.
 
Bible, ukristu umekuja kabla ya dini yenu. Sasa unapokosoa bible nakushangaa, quaran yenyewe inawataja wakritu ikiwaita watu wa vitabu. Bible iko sahihi kuhusu Yesu. We endelea kumdharau, Yesu yuko hai, utateseka hata kabla ya kufa. Mimi naogopa sana kuchezea Yesu

Nipe majina ya waandishi wa hio biblia kama unasema iko sahihi!

Biblia yako yenyewe inasema

wagalatia 3 : 13
"kristo alitukomboa kwa laana ya torati,kwa maana alifanywa laana kwa ajili yetu,maana imeandikwa amelaaniwa kila mtu atundikwae mtini"

Nakuuliza we Kakende au kapumbu! ALIYE LAANIWA ATAINGIA PEPONI??

WENYE LAANA WOTE WAKO MOTONI JAHANNAMU! na Kwa mujibu wa PAULO! Yesu wenu ALIFANYWA LAANA!
KWA HIO YUKO JAHANNAMU PAMOJA NA WENGINE WALIOLAANIWA.
 
Last edited by a moderator:
Kahtaan ukinipa hivi vifungu kwenye Bible mimi nasilimu sasa hivi, bora na mimi niwe muabudu na majini. Lete hiyo
Waislam hawaitaji mashoga.

Ukinitajia baba zao Luka, Mathayo, Paulo, nakuwa Mkirsto.
 
Asante Jehova kwa kuwa wewe ndiye Mungu wangu. Asante kwa kuniumba. Ningeumbwa na Allah bila shaka na mimi ningekuwa sawa na kina anti Moody, anti Ally na wale maanti wengi wanaojianika Lango la Jiji na Travatain
Nilikuwa cfahamu kwamba kumbe nawe ni mzuri kwenye kashfa za kidini... tukumbushane tu kwamba unaweza kuwa na jina zuri la Kikristo na ikawa kila inapobidi unaenda kanisani lakini what will determine your true Christianity si jina wala uendaji wako wa kanisani bali what's deep inside your heart! Ingawaje mimi ni Mwislamu huku nikiaminishwa kwamba dini ya kweli ni Uislamu lakini siamini hata kidogo kwamba mbele ya Mungu mimi ni bora kwavile tu ni Mwislamu na Mkristo yeyote ni wa motoni hata kama anafanya mema kwa wanadamu wenzake kuliko mimi!!! Nitakuwa wa mwisho kuamini katika hilo....
 
ebu wewe left overs wa mafisadi eleza maana ya matoto ya zinaa,hivi kuna mtu aliyewai kutenda zinaa mbaya na vitoto under age kama huyo mtume wenu???shame on you kumwamini mzinifu aliyefanya mapenzi na watoto wadogo,akili zako kama zake tu

Unaemuamini na kumuabudu wewe kwa mujibu wa ANDIKO LAKO AMELAANIWA!
Yaani yesu wako ni LAANA! Na hivi sasa yuko jahannamu ya moto!

wagalatia 3 : 13
"kristo alitukomboa kwa laana ya torati,kwa maana ALIFANYWA LAANA kwa ajili yetu,maana imeandikwa amelaaniwa kila mtu atundikwae mtini"

Na wewe pia umo ktk hio LAANA!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom