Kakende
JF-Expert Member
- Aug 18, 2012
- 2,741
- 1,233
Wakirsto acheni chuki zenu kwa Waislam kumtukana marehemu Sheikh Ilunga msijione nyie ndiyo wenye haki ya matusi tunaishi kwa kuvumiliana wala msidhani Waislam hawawezi kuwajibu, endeleeni lakini kumbukeni shilingi ina pande mbili haya mambo ya misiba ni yetu sote leo kwetu kesho kwenu yatakapotokea kwenu muwe wavumilivu.
Ritz, mimi yule shekhe Mkuu wa Dar es akifariki dunia lazima nitakwenda msibani au kutoa mchango wangu. Lakini huyu jamaa kasababisha Padre kuuawa Zanzibar, unajua gharama ya kuandaa Padre?, Padre anaandaliwa kwa Miaka 7 au 8. Sasa mtu kama Ilunga akiondoka kwanini isiwe sherehe?