Tanzia: Ustadh Ilunga afariki dunia

Tanzia: Ustadh Ilunga afariki dunia

Status
Not open for further replies.
7

HAO NI WATOTO WA HARAMU Hawana BABA!
Na HAKUNA AJUAE BABA ZAO NI NANI.
Na Kama kuna MKRISTO YOYOTE ANAEPINGA HILO. Basi AJE ATU0E MAJINA YA BABA ZAO!

aanze huyo Kakende bin kapumbu!

Kahtaan kwa mara ya kwanza umenifurahisha, umetambua kuwa Yesu si binadamu wa kawaida, kiumbe wa kimiujiza. Big up, sasa unaanza kuelewa
 
Asante Jehova kwa kuwa wewe ndiye Mungu wangu. Asante kwa kuniumba. Ningeumbwa na Allah bila shaka na mimi ningekuwa sawa na kina anti Moody, anti Ally na wale maanti wengi wanaojianika Lango la Jiji na Travatain

Ndio munavyofundishwa kanisani haya bwana, hizi pumzi za bure zikikatika Ndio utaujua ukweli.
 
Hata kama Maiti hasemwi kwa mabaya wala sina la kumsifia mtu kama Sheikh Ilunga hata kama nami ni mwislamu. Ni Sheikh gani unahamasiha watu wachinje mapadri na maaskofu huku ukitumia maandiko ya Kuran kwa kupotosha?!!! Ni heri nionekane kafiri kuliko kumtetea sheikh anaeshadidia mauaji yasiyo na kichwa wala miguu.

Hakuwahi kushadidia mauaji wala kuonea wasio na hatia. Alichopigania wkt wa uhai wake ni uhuru na haki sawa ya kuabudu kwa dini zote, na kurekebisha upotoshaji wa maksudi wa ushiriki wa waislam katika kupigania uhuru.
 
Nimesoma BIBLIA KULIKO mzazi wako.wa kike! Manake na wewe babako humjui kama vile Matayo, marko, Luka na John!

Watoto wa zinaa wana tabu sana!
Kuishi bila kutambua baba zao!
Hongera kahtaan kwa kutambua Yesu the great, hajulikani baba a.k.a bin mwanamke
 
Nilikuwa cfahamu kwamba kumbe nawe ni mzuri kwenye kashfa za kidini... tukumbushane tu kwamba unaweza kuwa na jina zuri la Kikristo na ikawa kila inapobidi unaenda kanisani lakini what will determine your true Christianity si jina wala uendaji wako wa kanisani bali what's deep inside your heart! Ingawaje mimi ni Mwislamu huku nikiaminishwa kwamba dini ya kweli ni Uislamu lakini siamini hata kidogo kwamba mbele ya Mungu mimi ni bora kwavile tu ni Mwislamu na Mkristo yeyote ni wa motoni hata kama anafanya mema kwa wanadamu wenzake kuliko mimi!!! Nitakuwa wa mwisho kuamini katika hilo....

Usife moyo just be the true you..there are majority good moderate muslims out there..radicalism is only by few who mostly exist in cyber world here in tz..
.
 
Kahtaan kwa mara ya kwanza umenifurahisha, umetambua kuwa Yesu si binadamu wa kawaida, kiumbe wa kimiujiza. Big up, sasa unaanza kuelewa

Wapi nimeandika Yesu sio binaadamu wa kawaida!
We mshamba kweli!
Unasema uongo hadharani??

Nilochoandika hapo juu ni kuwa MARK, MATHEW , LUKE NA JOHN watakuwa ni WATOTO WA HARAMU!
Manake BABA ZAO HAWAJULIKANI!

NA KAMA WEWE UNA MAJINA YA HAO WATUNZI WA BIBLIA BASI TULETEE HAPA!
 
Nimesoma BIBLIA KULIKO mzazi wako.wa kike! Manake na wewe babako humjui kama vile Matayo, marko, Luka na John!

Watoto wa zinaa wana tabu sana!
Kuishi bila kutambua baba zao!

Ungekuwa unasoma BIBLE usingekuwa unaswali na JINI likiwa linakuchungulia matakakoni wakati wa kuinama ukiwa unaswali
 
Tatizo la Mwafrika akiletewa dini basi yeye anaijua kuliko aliyemletea. Dini nyingi tumeletewa na wazungu na waarabu. Sasa tunaanza kugombana na kuitana majina tuliofundishwa na wageni i.e kafir. Mungu atusaidie.
Halafu mbaya zaidi, ingawaje dini zenyewe tunadhani tunazijuwa, kimsingi wala hatuzijui matokeo yake ndo haya... ujinga ujinga, as far as Sheikh Ilunga alikuwa ni Mwislamu basi Waislamu wote tumtetee na kumuunga mkono hata kama alichokuwa anahubiri ni chuki!
 
Hata mtukane mpaka mjipake usoni matusi bado Ustadh Ilunga ni shujaa kwa kusema ukweli dhidi ya udhalim.najua mnamchukia kwa ukweli wake lakini wanasema ni bora mchungu mkweli kuliko uongo wenye kuangamiza.na kila nafsi itaonja umauti.ni upumbavu na kukosa maarifa kwa matusi mnayoyatoa kwani hayasikii walaa kuyaona tena na kila mmoja wetu atakufa hakuna cha padri wala shetani woote tutakufa hakuna wa kupiga magoti wala wakupiga kwaya atakae bakia woote tutakufa sijui cha ajabu ni kipi.yeye kishamaliza muda wake kazi kwako na kama ukitaka kujua uliza alizikwa na kina nani??? Na hao waliomzika ndio wafuasi wake sasa wewe piga hesabu zako za kuishi lakini hujui utakufaje na utazikwaje think twice
 
Wapi nimeandika Yesu sio binaadamu wa kawaida!
We mshamba kweli!
Unasema uongo hadharani??

Nilochoandika hapo juu ni kuwa MARK, MATHEW , LUKE NA JOHN watakuwa ni WATOTO WA HARAMU!
Manake BABA ZAO HAWAJULIKANI!

NA KAMA WEWE UNA MAJINA YA HAO WATUNZI WA BIBLIA BASI TULETEE HAPA!

ADAM, HAWA, YESU si binadamu wa kawaida kwa kuwa wazazi wao hawajulikani
 
Hivi huu mstari uwa una maana gani katika biblia?

"Mpende adui yako" maana kama unafunga kula kwa kumuombea kifo (au jambo lolote baya) adui, then sijui huo ni uikristo gani!

Haombewi mtu kufa mkuu ni funga maalum kwa ajili yakumuombea "adui" yako kwa Mungu ili ambadilishe ktk yale maovu alokutendea,ikitokea kifo kama hivo naamin ni mapenzi ya Mungu.ktk Ukristo hakuna sala yakumuombea adui yako afe ila kuomba kwa ajili yake ili Mungu amsamehe na ambadilishe!!!!!thanx.
 
Umma Unasoma hapa jukwani.

Kataa kuwa viongozi wengi wa makanisa duniani WAMESHTAKIWA KWA MAKOSA YA KULAWITI WATOTO!

Kataa kuwa hapo TZ kuna Viongozi wengi tu wa MAKANISA wanaojishughulisha na Biashara ya madawa ya kulevya!

Kataa kuwa wachungaji wengi tu hapo TZ wamefumaniwa na WAUMINI WA KIKE wakiwaZINI MAKANISANI na KUFUMANIWA NA WAKE ZA WATU!

Na pia kataa kuwa Wewe si mmoja wa kambi ya kutetea Wachungaji wabadhirifu na wizi wa haki wanaotumia jina la yesu kutendea uhalifu wao.

Ndio maana ukajiita Kakende a.k.a kapumbu! Yaani kadogo km ka panya!

Na mwanamme mwenye kapumbu kadogo anakuwa AMEHASIWA! kitu ambacho husababisha apende wanamme kuliko wanawake!


Ha ha ha ha Mkuu...
 
Last edited by a moderator:
habari nilizozipata punde ni kwamba ustadh ilunga hassan kapungu muasisi wa maneno mfumo kristo tanzania amefariki dunia kwa ugonjwa wa kisukari na baadae figo zake kushindwa kufanya kazi.

Swala ya maiti itaswaliwa msikitini wa kichangani-magomeni na atazikwa leo.

Innalilahi waina ilaihi rajiuun.

attachment.php




===============
update:

sheikh ilunga aliyefariki dar es salaam, anatarajiwa kuzikwa leo katika makaburi ya mwinyimkuu yaliyoko magomeni mapipa.

Maiti yake itasaliwa katika msikiti wa kichangani, magomeni - dar es salaam katika sala ya alasiri saa kumi jioni.

Sheikh ilunga ambaye alikwenda nchini india kwa matibabu, aliwahi kukamatwa na polisi na kufunguliwa mashtaka kwa tuhuma za kutoa mahubiri ya uchochezi.

Msiba wake upo mbezi - goigi, jijini dar es salaam.

"mwenyezi mungu ndiye muweza wa yote, tumuuombe aiweke roho ya marehemu mahala pake peponi, amina".
 
Hakuna chombo cha HABARI KILICHOTANGAZA KIFO, MAZISHI YA GAIDI
 
Halafu mbaya zaidi, ingawaje dini zenyewe tunadhani tunazijuwa, kimsingi wala hatuzijui matokeo yake ndo haya... ujinga ujinga, as far as Sheikh Ilunga alikuwa ni Mwislamu basi Waislamu wote tumtetee na kumuunga mkono hata kama alichokuwa anahubiri ni chuki!

Hongera kwakutetea unachoamini badala ya kua bendera fuata upepo...
 
Mnashangilia kufariki sheikh Ilunga, mnahisi na dini ya kiislamu ndio imekufa sio? Watu kama akina Ilunga wapo wengi sana na ipo cku watasikika nao muwaombee vifo vilevile. Pia ninyi mtaishi milele ktk dunia hii kwani nahisi Mungu kawachagueni maalumu kwa ajili ya kuangalia nani jamii ya marehemu sheikh Ilunga kafariki na nani bado, dunia hii jamaa zangu, toeni maneno ya kejeli lakini iko siku nanyi mtafukiwa ardhini. :/

Ndugu nani anashangilia? Kinachojadiliwa ni Wasifu Wa shekh Ilunga alipokuwa hapa duniani. Tujue wote kwamba huyu alikuwa Mtu maarifu, na kilichomfanya maarufu Si kingine bali ni kuhamasisha Waislamu kuwauwa Wakristo. Hapa hakuna haki kwa Mtu yeyote kuhukumu kwamba Sheikh anaenda peponi au Moroni. Mungu anajua.
 
Huyu ndiye aliyesema ukimkuta kadinali chinja?
 
Boko Haram says it will sell abducted girls

"I abducted your girls. I will sell them in the market, by Allah," a man claiming to be Boko Haram leader Abubakar Shekau said in a video first obtained by Agence France-Presse.

"There is a market for selling humans. Allah says I should sell. He commands me to sell. I will sell women. I sell women," he continued,. "Girls, you should go and get married," he said.

Boko Haram is a terrorist group receiving training from al Qaeda affiliates, according to U.S. officials. Its name means "Western education is sin." In his nearly hourlong, rambling video, Shekau repeatedly called for Western education to end.


In recent years, Boko Haram has carried out dozens of attacks, killing thousands of people at schools, churches, police stations, government buildings and elsewhere. Targets include Christians, senior Islamic figures critical of Boko Haram and people the group believes are engaged in "un-Islamic" behavior, the U.S. Commission on International Religious Freedom says.

Source:CNN
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom