Innalillah WainnaliRaajiun
Vipi atafika firdaus?
Innalillah WainnaliRaajiun
r.i.h .
!
!
kama kuna kupumzika basi apumzike panapomstahili......kama hakunaga hayo makitu ndio basi tena
Mkuu asante sana, za siku aisee? Nimemuona, ila sijui namfananisha na yule mzee alikuwa anasema waislam wawaue mapadri, sjui ndio huyu ama nimemix, anyway yaliopita si ndwele apumzike kwa amani mzee Ilunga
Mkuu, Ilunga kashapiga bao mabikira sita hadi sasa, inategemewa waliobaki atawamaliza leo kabla ya saa sita usikuWe kweli mwehu,,ingekuwa hivyo si mngefunga kwa Waislam wote maana Makafir kumpenda Muislam ni ngumu yaan mnatamani Dunia hii make wenyewe tu.
Bado Ponda.
maombi ya kufunga "kula 7" mfululizo, yamejibu.maombi ndio silaha yetu kubwa wakristo.
I wish angepigwa Risasi ya Kichwa tu...
Kufa kifo cha kawaida is not fair kwa mtu kama yeye...
Sor kama imekuuma.
maombi ya kufunga "kula 7" mfululizo, yamejibu.maombi ndio silaha yetu kubwa wakristo.
Sisi sote ni marehemu watalajiwa acha kujidanganya.maombi ya kufunga "kula 7" mfululizo, yamejibu.maombi ndio silaha yetu kubwa wakristo.
Hivi huu mstari uwa una maana gani katika biblia?
"Mpende adui yako" maana kama unafunga kula kwa kumuombea kifo (au jambo lolote baya) adui, then sijui huo ni uikristo gani!
Habari nilizozipata punde ni kwamba ustadh Ilunga Hassan kapungu muasisi wa maneno mfumo kristo Tanzania amefariki dunia kwa ugonjwa wa kisukari na baadae figo zake kushindwa kufanya kazi.Ustadh Ilunga atazikwa Leo.
Innalilahi waina Ilaihi Rajiuun.
Bado Ponda.
Sisi sote ni marehemu watalajiwa acha kujidanganya.
Good Riddance!
Someone should have shot that imbecile in a cold blood...too bad he died such a death!
Au Ramadhan Ighondu kafanya mambo?