Tanzia: Ustadh Ilunga afariki dunia

Tanzia: Ustadh Ilunga afariki dunia

Status
Not open for further replies.
usiniambie humjui ilunga wala hujawahi kumsiki
ngoja nisisema chochote kuhusu huyu mtu, naweza jikuta rumande bure

yatosha signature yako imeshaeleza mengi..
 
  • Thanks
Reactions: ram
Sisi ni wa mwenyezi mungu na hakika kwake tutarejea,.....May Allah grant him Jannah!
 
Du!sijui nani karithi mikoba yake....
 
Upuuzi wako huu wa kujifanya ni mfia dini ndiyo maana hata kuandika unashindwa.

"Kuludi" ndiyo kitu gani? Nendeni shule la sivyo mtalalamika mnaonewa hadi mwisho wa dunia.

MKUu huyo unayejibizana nae anaonekana ni mtu mzima kwa avatar yake mpe heshima yake hata kidogo..
 
Kwa kuwa (inasemekana) kati ya vitu watakavyopewa walioyatoa maisha yao kuisimamisha dini ya Mwenyezi Mungu kama akina Sheikh Ilunga ni mabikra 72 wakila nao raha mchana kutwa usiku kucha, hebu tupe ilmu:-

(i) Je, ni kweli kwamba suala la mabikra 72 ni dhana tu au ni uhalisia?
(ii) Kama ni uhalisia, wanawake kama wewe mtakapokufa thwawabu yao nini? Maana wanaume hupewa mabikra, mahajjat nao je?

RIP Ilunga.

Soma hizi aya zinaelezea wasifu wa mabikra, zinasema wana macho mazuri Al-Quran 44:54
Quaran 78:33. Idadi kamili ya mabikra inapatikana hapa. hadith 2687
 
Mkuu asante sana, za siku aisee? Nimemuona, ila sijui namfananisha na yule mzee alikuwa anasema waislam wawaue mapadri, sjui ndio huyu ama nimemix, anyway yaliopita si ndwele apumzike kwa amani mzee Ilunga

Da ni huyu maskini! Nina mkanda wake nyumbani na picha hiyo aliyovaa skafu akiwahimiza waislam kuwaua maaskofu na mapadri. Wakati wa yale machafuko ya wakristu na waislam mwaka juzi nasikia alikimbia na alikuwa anatafutwa na vyombo vya usalama. Lakini haikuja kuelezwa km walimpata au la! Kwa kweli mahubir yake yalikuwa ykichichezi sana. Na kisa cha kuwahhimiza wislam wawau maaskofu na mapadri ni eti kulipiza kisasi cha kuuawa kwa shehe Sorogwa na polisi huko kenya Mombasa mwaka 2011. Nahisi usalama wa taifa wamefanya mambo yao. Anyway, RIP shekhe Ilunga.
 
Huyu Sheik kumbe alikuwa hajakamatwa bado? Nadhani wafadhili wakd (CCM & BAKWATA) walifanya kazi sana kumficha. This dude really hated christianity. However, may the Almighty God rest his soul in eternal peace. Amen.
 
Kwa niaba ya familia nakusanya rambirambi ya msiba wa shehe illunga hapa jf.
 
Nyie mnabishana humu jf wakti mwenzenu yuko anatoboa bikra 72 per day. Ila cjui ukishawatoa bikra wanakuwa wa nani manake kila cku unapewa wapya 72. Asee mm nasilimu ss ivi kama ifuatavyo: ashahadu ala ilaha ilallah, ashahadu anna Issa arasulullah amma baadu.
 
He is now at the corner of hell with sheikh Makaburi of Mombasa
 
Bad news. Ilunga alikuwa kichocheo cha demokrasia nchini kupitia mahubiri yake
 
Kwa kuwa (inasemekana) kati ya vitu watakavyopewa walioyatoa maisha yao kuisimamisha dini ya Mwenyezi Mungu kama akina Sheikh Ilunga ni mabikra 72 wakila nao raha mchana kutwa usiku kucha, hebu tupe ilmu:-

(i) Je, ni kweli kwamba suala la mabikra 72 ni dhana tu au ni uhalisia?
(ii) Kama ni uhalisia, wanawake kama wewe mtakapokufa thwawabu yao nini? Maana wanaume hupewa mabikra, mahajjat nao je?

RIP Ilunga.

Ha ha ha ha hii mbingu ambayo na wazinzi wanapata nafasi ya kuingia nikipata hata ofa ya kuingia mbinguni nitakataa.Kwa vile haitakuwa tofauti na dunia hii ambayo imejaa chimpumu na mazagazaga mbalimbali ya duniani.
 
Ni ilunga yupi? Yule mwongo na mchochezi wa kidini au mwingine!?

Niliwahi kuona video akisema eti askari jasiri waislaam wa mkwawa walikiteketeza kikosi cha wakoloni wa kijerumani pale lugalo Dar. Sijui hiyo ni historia ya wapi!

Isitoshe alikuwa anachochea waislaam kuchukua silaha kuwashambulia wasiokuwa dini yao.

Pamoja na hivyo kama ametwaliwa sio jambo la kusherehekea. Mungu amsamehe dhambi na kuweke roho yake pema peponi.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom