Captain Phillip
JF-Expert Member
- Nov 5, 2010
- 894
- 538
We si kafiri tu na pombe zko subiria adhabu ya m, mungu kama utakufa na imani ya kikafiri uliyonayo
Kwa kuwa (inasemekana) kati ya vitu watakavyopewa walioyatoa maisha yao kuisimamisha dini ya Mwenyezi Mungu kama akina Sheikh Ilunga ni mabikra 72 wakila nao raha mchana kutwa usiku kucha, hebu tupe ilmu:-...Qur'an 2:157. Hao juu yao zitakuwa baraka zitokazo kwa Mola wao Mlezi na rehema. Nao ndio wenye kuongoka
Allah Amsamehe makosa yake na amuweke katika bustani za peponi.
Mtafuteni Padri Muue- Ustadh Ilunga
Swali langu kwa Muslim. Kwanini huyo ALLAH anaeagiza mchukie kafir, muue kafir bado anaendelea kuumba makafir kila kukicha hadi leo. Hamuoni kama anawaongezea matatizo? anawaongezea kazi ya kuua?. Mimi nadhani adui yenu ni ALLAH anaeumba makafir, au mnasemaje?
Niko msibani hapa Mbezi Goigi ambako mwili wa marehemu Ustadh Ilunga Hassan Kapungu umelala. Kitu kizuri ni kuwa hakuna alietetereka kwa msiba huu kwani kila mmoja wetu anajua kila nafsi itaonja mauti na huu ni muda wa Ustadh Ilunga. Kizuri kingine ni kuwa amefariki kwa ugonjwa ambao ulimuanza zaidi ya miaka kumi na tani iliyopita, kabla hata ya umaarufu wake, kabla hata ya propaganda zidi yake kuenezwa. Watu wamehamasika kwa kazi yake aliyoifanya hapa dunia na wako tayari kuiendeleza. Ustadh Ilunga amefariki na atazikwa leo saa kumi jioni lakini kazi yake katika uislamu itadumu milele.
Swali langu kwa Muslim. Kwanini huyo ALLAH anaeagiza mchukie kafir, muue kafir bado anaendelea kuumba makafir kila kukicha hadi leo. Hamuoni kama anawaongezea matatizo? anawaongezea kazi ya kuua?. Mimi nadhani adui yenu ni ALLAH anaeumba makafir, au mnasemaje?
Kama anaistahili Pepo aende
Swali langu kwa Muslim. Kwanini huyo ALLAH anaeagiza mchukie kafir, muue kafir bado anaendelea kuumba makafir kila kukicha hadi leo. Hamuoni kama anawaongezea matatizo? anawaongezea kazi ya kuua?. Mimi nadhani adui yenu ni ALLAH anaeumba makafir, au mnasemaje?
Kwa kuwa (inasemekana) kati ya vitu watakavyopewa walioyatoa maisha yao kuisimamisha dini ya Mwenyezi Mungu kama akina Sheikh Ilunga ni mabikra 72 wakila nao raha mchana kutwa usiku kucha, hebu tupe ilmu:-
(i) Je, ni kweli kwamba suala la mabikra 72 ni dhana tu au ni uhalisia?
(ii) Kama ni uhalisia, wanawake kama wewe mtakapokufa thwawabu yao nini? Maana wanaume hupewa mabikra, mahajjat nao je?
RIP Ilunga.
Duh,
Hizi deal mbona huwa mnaniachia mimi tu?
Kweli mkuuHuyu mtu alikuwa anahubiri wenzake wauawe kama vile kawaumba yeye, alitaka makafir wauawe ili wabaki viumbe wenye haki mbele ya Mungu. Hii dini inafurahisha, Mungu anaumba kafir, lakini Mungu huyohuyo anaagiza kafir auawe. Tangu aagize mapadre kuuawa hajawahi kuwa na raha, muda wote kuugua tu mpaka amekufa.
Du hatare kumbe jamaa yuko fit kiaas hichoMkuu, Ilunga
kashapiga bao mabikira sita hadi sasa, inategemewa waliobaki atawamaliza
leo kabla ya saa sita usiku