chamtemamoto
JF-Expert Member
- Jul 30, 2013
- 796
- 215
Raha ya milele umpe eeh Yesu na mwanga wa milele umwangazie. Apumzike kwa amani. AMEN!
Maombi mazuri sana haya, lakini yamechelewa, ungemwombwea kabla ajafa ungekuwa umefanya la maana sana,
Niombee mimi maombi haya kabla sijafa tafathali, usiache kuniombea maombi haya!.