Tanzia: Ustadh Ilunga afariki dunia

Tanzia: Ustadh Ilunga afariki dunia

Status
Not open for further replies.
inalilah wainailayhi rajiun, ALLAH amuweke mahala pema, ampanulie kaburi lake, amuepushe na adhabu ya kaburi,SHEIKH amefikisha ujumbe kadri ya Allah alivyomuwezesha,

"Do not say about those who are slain in the cause of Allah (martyrs), that they are dead. Nay, they are alive, but you do not perceive it'

 
your damn right he was such a shit man!

Inna Illaihi Wainna Illaihi Rajiuun ... Kwanini usije na ID yako tukuelewe kuwa wewe ni LUKUVI ... Marehemu Sheikh Illunga Maneno na Msemo wake Umedhihirika baada ya wewe kubwabwaja Kanisani na Baadae kututhibitishia ndani ya Bunge... Mfumo Kandamizi huwa haidumu! Kama ilivyo kwa Waliozoea vya kunyonga, Kamwe vya kuchinja hamviwezi...mmezoea kukandamiza mnalialia mkikandamizwa kidogo! RIP Sheikh Ilunga hakika umetutoa kizani wengi wetu...Naona sasa wanamuandama Sheikh Ponda, mfumo ule ule na style ile ile ya kupiga kalenda kesi eti file walisahau Dar es Salaam! Wamemweka Hakimu wao, PP wao, Wakili wao... Tunajua haki haitapatikana chini ya Mfumo huo kandamizi...Ila Itapatikana Soon
 
Apumzike kwenye Amani sheikh Ilunga. Mungu amsitiri na kumsamehe makosa yake.Amina.
 
Huyo mwanadamu kwa maneno yake ya uchochezi wa kidini angesababisha mauaji ya halaiki. Sote tutapita njia hiyo lakini Mungu kama kamuwahisha mbele ya haki ni kwa faida ya watanzania!
 
Hakika kila nafsi itaonja umauti...na hivyi ndivyo QURAN inavyojithibitisha...Hakika tunashukuru sana kwa harakati zako..ALLAH atupe nguvu na imani ili nasi tuweze kufanya mema kama yale uliyoyafanya, atupe msimamo kam a ule uliokuwa nao ww....na atuongoze katka haki kama alivyokuongoza ww. INNALLAH MAASWABIRIN.
 
Mnafundishwa kuombea watu vifo! nyi wabaya sana.

Bora mtu mmoja afe kuliko kuishi na kuliingiza Taifa katika viatu vya Nigeria I mean Boko Haramu! The man was BAD MAN. Sihukumu lakini angetuua wengi.
 
2_156.gif

Qur'an 2:156. Wale ambao ukiwasibu msiba husema: Hakika sisi ni wa Mwenyezi Mungu, na kwake Yeye hakika tutarejea.


2_157.gif
Qur'an 2:157. Hao juu yao zitakuwa baraka zitokazo kwa Mola wao Mlezi na rehema. Nao ndio wenye kuongoka
 
Katika msiba huo, serikali itawakilishwa na Lukuvi
 
DAH MSIBA MZITO KWETU WAISLAM hili ni pengo zito sana kwetu.....INNALILLAH WAINA ILLAIH RAJIUN
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom