Tanzia: Ustadh Ilunga afariki dunia

Tanzia: Ustadh Ilunga afariki dunia

Status
Not open for further replies.
Jerry umeshakiri humjui huyu bwana,iache historia iwekwe sawa. Kuna ya kujifunza kwa watu wote,wa imani zote kupitia kupitia kifo na aliyoyahubiri huyu bwana.

Kweli mkuu, hata picha yake nilipata tabu kuifahamu! Basi sawa hakuna neno zaidi, asante
 
Usiniambie humjui Ilunga wala hujawahi kumsiki
Ngoja nisisema chochote kuhusu huyu mtu, naweza jikuta rumande bure

Ni yupi huyu, tafadhali picha kama iko maana wengine hatumfaham! Poleni sana wafiwa, Mungu awatie nguvu
 
Usiniambie humjui Ilunga wala hujawahi kumsiki
Ngoja nisisema chochote kuhusu huyu mtu, naweza jikuta rumande bure

Mkuu, hii sio league nimeshasema basi av conceded my dear, just take it easy
 
Uwe unatumia akili kabla ya kucomment, nimeuliza picha 3hrs ago kwenye comment #11 , na hapakuwa na picha kabla yangu

kwani natumia ------? wewe vp umeshindwa kueleza bila kusema natumia akili ww akili yako iko wapi sasa
 
Sitegemei viongozi wa serikali kwenda kumzika, kwani bado alikua anatafutwa.
 
Hapa kuna shari wala hapafai kuendelea kuwapo. Furahieni kifo chake lakini ipo siku yakiwakuta mambo ya wastgate mall ndio mtaelewa ubaya wa chuki za kidini mnazoendeleza. Mods pia nawapongeza kwakubariki haya yanayoendelea. Cc Paw, Invisible, Moderator etc.

Hii ni habari sio hoja. Mods wakifuta huu uzi,watakuwa wameminya haki yetu ya msingi ya kupata habari.
Uhuru wa kuabudu,ndio uhuru ule ule wa kupata habari na kuongea.
 
Last edited by a moderator:
Wala sio league my brother, ungekuwa mkazi wa mwanza nadhani ungeshamsikia achilia mbali kumjua, alikuwa anapatikana sana pale msikiti wa lumumba


Mkuu, hii sio league nimeshasema basi av conceded my dear, just take it easy
 
Nimemsikiliza ktk video iliyowekwa hapo juu,daa jama hatari sn kwa ku-argue for.Vitu vingine ni logic sn vinavyohusu utawala na mamlaka ya watu wa Zenji.But dhambi kubwa ni ubaguzi wa kidini na kuwaona binadamu wa upande wa pili si watu bali ni wanyama hapo tu.

Akili alikuwa nazo sn but alishindwa kutambua "DINI TULILETEWA-By Afande Selle"
 
We si kafiri tu na pombe zko subiria adhabu ya m, mungu kama utakufa na imani ya kikafiri uliyonayo

Wewe inaonekana jina lako ni Juma lakini sielewi umeandika nini hapo,au ndo kizungu zaidi huku unatetea dini ya waarabu
 
inna lilah wainna ilaihi rajiun. ALLAH akulipe kila kheli. umekua mfumbuzi wa matatizo ya waislam wa tanzania. ulitetea usawa kwa wote kama maagizo ya quran takatifu. ALLAH AKULIPE INSHAALAH.
 
Tena haswaa namuunga mkono shekhe Ilunga hassan kapungu alikuwa sahihi kabisa.

Mungu kamuondosha yeye sasa.

Bila shaka sasa hivi yupo na mabikira wake 72 anajilia vyake. Wajinga ndiyo waliwao.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom