Tanzia: Ustadh Ilunga afariki dunia

Tanzia: Ustadh Ilunga afariki dunia

Status
Not open for further replies.
Sheikh kafariki mida ya usiku wa kuamkia leo,swala ya maiti itaswaliwa msikitini wa kichangani-magomeni
Inna-lillahi wainna ilaihi raaajiun

Huwa sifurahii kifo cha mtu hata kama ni adui yangu

Ila shehe ilunga alizidisha utaahira, kwenye ulimwengu wa watu wastaarabu yule alikua hafai.

Mda mwingine silaumu ugonjwa,nalaumu chanzo cha ugonjwa,tulaumu kitabu alichokua anakitumia shehe kutafsiri maandiko.,ndivyo kinavyofundisha,kuhamasisha mauaji,ugomvi,chuki,mafarakano.

Shehe wafurahie mabikra wako 72.,mwambie mungu akupe na wangu maana mimi siwataki na sitawataka hata kama ntakuja huko.
 
R.I.P.
Ilunga ila mafundisho yako yataendelea kuathiri jamii yetu.
 
Sasa mbona mabikira kwa wanaume tu, je wanawake waisilamu wakifa, wao huwa wanafaidi nini?
 
Inna lilallah wainna illah rajiun. Umekuwa jasiri miongoni mwa jamii ya Watanzania daima hukuogopa kuongea ukweli ili kukataza dhulma dhidi ya Tabaka linaloonewa. Mwenyezi Mungu akurudhuku Pepo ya daraja la juu kabisa la Firdausi Inshallah
 
Ashkru hata kufariki kwa ugojwa,angekuwa Kenya kwa wakuu UHURUTO wangekuwa wamepita nae long.
 
Ngoja nimuite Ally Kombo aje atoe ufafanuzi hapa, watu wamezidi mno kuwazungumzia hao 72 badala ya msiba!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom