Kuchasoni Kuchawangu
JF-Expert Member
- Aug 21, 2012
- 603
- 340
Ninasikitika
kuwataarifu kuwa mwenzetu Smile, amefiwa na mama yake siku ya alhamisi
huko Moshi na mazishi yanatarajiwa kufanyika huko huko Moshi.
Kama tujuavyo wengi wetu humu ndani tunaishi kama ndugu, rafiki, baba,
mama, shemeji, wapenzi n.k.
Kwa niaba na ridhaa yake ninachukua jukumu hili kuwapeni taarifa nyote.
Kwa kipindi hiki atakuwa akipatikana kwa namba hii 0768-036880.
Tuungane katika kumuomba Mungu amjaalie na kumuongezea nguvu katika
kipindi hiki kigumu.
Amina.
R.I.P Mama smile, Bwana alitoa Bwana ametwaa jina la Bwana libarikiwe.