TANZIA: Rock City Wing

TANZIA: Rock City Wing

Poleni sana ndugu zangu kwa msiba huu. Yatosha kwa msiba kuwa mawaidha kwa wengine. Mungu amjaalie mizani mizuri na Nuru katika NJIA yake, ameen. !!

Tunashukuru....
 
Pole sana ram na mwenyenzi Mungu mwingi wa rehema awape nguvu katika kipindi hiki kigumu!
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: ram
Pole sana ram mungu amipe ujasiri katika kipindi hiki kigumu .
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: ram
ahsanteni wapendwa, Mungu awabariki kwa faraja mnayotupa JF Rocky City wing na mimi mwenyewe, hakika Jf ni zaidi ya mtandao wa kijamii, Mungu awabariki wote, pamoja sana
Pole sana ram mungu amipe ujasiri katika kipindi hiki kigumu .
 
Last edited by a moderator:
ahsanteni wapendwa, Mungu awabariki kwa faraja mnayotupa JF Rocky City wing na mimi mwenyewe, hakika Jf ni zaidi ya mtandao wa kijamii, Mungu awabariki wote, pamoja sana

Nini chanzo cha kifo cha mpendwa wetu?
 
Poleni sana Mwanza Wing Wote. Mungu awafariji, na tuko pamoja na nyinyi.
ram, usiumie sana best yangu, wote tumeumia na zaid sana ni kwamba tunakuombea upate faraja ya haraka.
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: ram
Pole sana ram, Mungu awatie nguvu katika kipindi hiki kigumu
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: ram
Pole sana Dada Ram, Mungu awatie nguvu, Nataman niungane nanyi katika maombolezo ila niko mbali kidogo, ntafika Mwanza ijumaa naomba ntakuja kukupa pole.
 
  • Thanks
Reactions: ram
Mpe pole sana ram MUNGU ampe nguvu na msiba huo na ninyi watu wa JF mwanza onesheni ushirikiano tabgu sasa hadi siku hiyo ya j4

Usijali mkuu... Ni msiba wetu sote!

Tunawashukuruni nyote kwa kutufariji RC wing....

TrueLove karibu sana mamito!
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: ram
Pole sana ram, Mungu amrehemu Binamu yetu!
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: ram
pole sana ram na Rock city wing wote.. Mungu ampumzishe kwa amani mpendwa wetu, na atupe tuliobakia faraja.
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: ram
Back
Top Bottom