Otorong'ong'o
Platinum Member
- Aug 17, 2011
- 39,168
- 28,819
Anawatoa kafala.
CCm ni chama kinachoendeshwa kwa misingi ya tutoana kafala.
Naichukia CCM kwa moyo wangu wote...Lakini kwahili naomba niende kinyume na wewe....RIP Kijana wa Mangula..
Anawatoa kafala.
CCm ni chama kinachoendeshwa kwa misingi ya tutoana kafala.
R.I.P Peter,mzee wetu mwaka huu alifunga mdoa na mwaka huu kafiwa na wanae 2,kwa kweli inauma.pole sana Mangula
Mungu wa Israel aingilie kati jamani, awafariji na awarestore it is never easy!
Mangula alifunga ndoa mwaka huu. Huyo mwanamke aliyeolewa na hiki kibabu mbona amejidhalilisha pamoja na familia yake. njaa iliyoko kwao si ndogo.
Mtoto wa kwanza wa Makamu nwenyekiti wa CCM Philip Mangula ,Peter Mangula amefariki Dunia leo asubuhi.
Ntaendelea kuwapa update zaidi
R.I.P Peter Mangula, siso sote mavumbi.
kabla ya huyo binti aliefariki kwa ajali kuna mwingine tena alifariki alikua kiongozi wa dini enzi hizo
alafu ndo akaja huyo binti then leo huyu peter, hili ni janga aisee....mzee mangula atakua na hali mbaya
sana aisee. R.i.p peter mangula
duuh
Pole Mzee Mangula au mambo ya nyota ya kisiasa hiyo? Maana vyeo vina mambo mengi sana.
ndo manake ....nakandamizia achukue uenyekiti wa chama...pole mzee wangu
Hahah funny! We ukitaka kuwaombea kupitia mungu wa afrika au india unaweza tu, as for me ninaomba kua Mungu wa Israel ambaye ni Mungu wa waafrika na wote wenye mwili aingilie kati kwa habari ya Mangullah. Hayo ni maombi yangu na hayana formula na kwa hilo huwezi nichagulia! It is a matter of imanimungu wa Afrika ndo anatakiwa awafariji maana marehemu alikuwa Mwaafrika
You are the woman too.How can you say this?Hujafa hujaumbika..Hebu wamchunguze huyooo mkewe!!
Mtoto wa kwanza wa Makamu nwenyekiti wa CCM Philip Mangula ,Peter Mangula amefariki Dunia leo asubuhi.
Ntaendelea kuwapa update zaidi
R.I.P Peter Mangula, siso sote mavumbi.